Rio Ferdinand Ajipigia Pande Kurudi United.

Anajulikana kwa kusema kile anachokiamini bila kupindisha maneno. Rio Ferdinand, beki kisiki kwenye historia ya Manchester United.

Ferdinand aliitumikia United kati ya mwaka 2002-2014 akitua Old Trafford akitokea Leeds United. Wakati ule, Rio Ferdinand alicheka kama beki wa kati akishirikiana kwa karibu na Nemanja Vidic, kwa pamoja, walitengeneza ukuta mgumu zaidi kwenye historia ya EPL.

United ya miaka ile, sio United ya sasa. Kwa msimu huu pekee, The Red Devils wamesharuhusu nyavu zao kutikiswa mara 26 ikiwa ni mara mbili zaidi ya idadi ya magoli waliyofungwa Man City ambao ni vinara wa EPL mpaka sasa.

Rio Ferdinand amejipigia pande kurudi Old Trafford. Kwa mujibu wa Rio, endapo United watamuhitaji kama kocha wa idara ya ulinzi, hatosita wala kujifikiria mara mbili, yupo tayari. Hii itawezekana endapo tu, United wataonesha nia ya kumuhitaji.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.