Bayern Munich: Watano Wapata Maambukizi ya Uviko-19

Wachezaji wanne wa klabu ya Bayern Munich wapata maambukizi ya Uviko-19 huku kocha wao akikamilisha idadi na kufikia waatu watano wenye maambukizi mpaka sasa kwenye klabu hiyo.

Wachezaji wa hao wote watakosa mazoezi na itabidi wajitenge kwa siku 14 ili waweza kujiuguza, wachezaji ambao watakoseka kwa kipindi hicho ni Manuel Neuer, Kingsley Coman, Corentin Tolisso na Omar Richards.

Mwezi Disemba mchezaji wa Bayern Munich Joshua Kimmich alikaa nje kwa wiki nne baada ya kukutana na mtu aliyepata maambukizi ya Uviko-19, pia mwezi Oktoba alizua taharuki baada kukataa chanjo kabla ya kukubali kuchanja.

Bayern munich watarejea tena uwanjani siku ya ijumaa ikiwakaribisha Borussia Moenchengladbach kwenye ligi kuu ya Ujerumani, ambapo mchezo huo utachezwa pasipo mashabiki.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.