Derby County: Wachezaji Kikosi cha Kwanza Hali Si Shwari.

Maambukizi ya COVID19 bado ni changamoto kwenye ulimwengu wa michezo. Klabu ya Derby County kuwakosa wachezaji na benchi la ufundi la kikosi cha kwanza.

Derby County wameripoti baadhi ya wachezaji na wafanyakazi wa klabu hiyo wameathirika na COVID19 ikiwa ni sambamba na muingiliano wa waathirika na watu wengine ambao hawakuathirika.

Kwa sababu hiyo, wachezaji wote wa kikosi cha kwanza pamoja na wafanyakazi na benchi la ufundi watakaa karantini kwa muda kama sehemu ya kujilinda zaidi.

Kocha wa Muda wa Derby County – Wayne Rooney

Pamoja na hilo, uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo umefungwa kwa muda. Derby watawatumia zaidi wachezaji wa vikosi vya U23 na U18 kwenye mchezo wa raundi ya 3 ya FA jumamosi hii dhidi ya Chorley

Sheria ya FA inaruhusu mchezo kuendelea endapo timu itakuwa na wachezaji 14 waliokidhi vigezo vya kucheza. Idadi ya wachezaji 14 inajumuisha wachezaji wa timu za vijana (U23 na U18).


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

22 Komentara

    Asant kwa taarifa

    Jibu

    Duuh hii Covid sio poa

    Jibu

    Hili gojwa sio poa mwenyezi mungu atuepushe

    Jibu

    Hatar sana

    Jibu

    Ugonjwa wa corona hatari

    Jibu

    Daaaa pigo kubwa sana

    Jibu

    Duh hili gonjwa la kihistoria

    Jibu

    Gonjwaa balaa hilii

    Jibu

    Balaa

    Jibu

    Mungu atuepushe tyu maana gonjwa alifai kabisa

    Jibu

    Hii coronavirus Mungu tuondolee

    Jibu

    Mungu hatuepushe na janga hili

    Jibu

    Gonjwa atalii

    Jibu

    Pole kwao derby hili ni tatizo sasa

    Jibu

    Duu hari siswali

    Jibu

    Corona noma

    Jibu

    Hatari sana hii

    Jibu

    Corona imekuwa tishio

    Jibu

    Colona ni janga la dunia

    Jibu

    Corona haifai kabisa

    Jibu

    Majanga

    Jibu

    Nishidaa na hii conona

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.