Nyota wa Lyon, Memphis Depay amesema kwamba anaweza kumaliza msimu akiwa na timu hiyo ya Ligue 1 hali ya kuwa amekuwa akihusushwa na Barcelona.
Depay ameendelea kuuhusishwa na kutimkia Barcelona na mkataba wake utaacha kufanya kazi mwisho wa msimu 2020-21.
Muholanzi huyo wa kimataifa alifunga mara mbili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Lens siku ya Jumatano na kuwapeleka mpaka nafasi ya kwanza wakiwa na alama tatu mbele ya PSG wanao shika nafasi ya pili.
Wakati ameukuwa akihusishwa na kuondoka, Depay amesema anaweza kumaliza kampeni akiwa na Lyon.
“Nina furaha hapa. Tunatimu kubwa kiukweli nampenda rais, tutaona nini kitatokea,”aliiambia Canal+.
“Rais na mimi tunajua nini kilitokea katika misimu minne iliyopita, acha tuendelee kusonga na kufurahia uwepo wangu hapa, naweza kuwepo hapa mpaka mwisho wa msimu.
“Acha tuendelee kuangalia mchezo wa Jumamosi, acha tuwe na furaha tuna timu kubwa.
Ni nyota wa Paris Saint-Germain Kylain Mbappe mwenye goli 16 amehusika moja kwa moja kwenye kufunga magoli mengi katika Ligue 1 kuliko Depay (14) msimu huu.
Lakini hakuna mchezaji yoyote ametengeneza nafasi nyingi kumzidi Depay (42) kwa timu ya Lyon.
Lakini Depay ametengeneza nafasi kubwa 10 na fowadi wa Marseille Florian Thauvin 12 na mshambuliaji wa Angel Di Maria 11 waliotengeneza nafasi zaidi.
Lyon watakuwa dimbani tena siku ya Jumamosi wakati wakiwatembelea Rennes.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Gabriel
Bora abak tu Lyon maana maana anaweza kwenda Barcelona akakosa namba au kiwango kikashuka zaid maamuz yake yako poa sana
Shakila mrope
Asant kwa taarifa meridian bett
Adelta
Lyon Bora abaki tu
Magdalena
Abaki tu apo apo panamfaa
warda
Bora amalizie msimu hapo hapo
Sania
Bora abaki
Neema juma
Abaki tu
Tatu
Bora abaki hapo hapo
Sabrina
Itapendeza sana km ataendelea kusalia
Rahmal
Abaki tu asiondoke
Caroline
Bora Abaki tu
Asia Abdy
Thanks kwa taarifa
farida ahmad
Safii
Saupha mohamed
Wazo zuri
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa poa sana
Dorophina
Habari njema kwa wapenzi wa lyon
Mwanahamisi
itakuwa poa sana
Angelina
Maamuzi ni yake kubaki au kusepa
Fatina mfingi
Maamuzi Ni yake yy ndo anajua wapi kunamfaa
aisha
Akibaki ni jambo jema
Issa
Depay bakilyon
Hopemwaikuka
Ni vzur pia
Sarah
Abaki tu asiondoke