Ni swali la kuuliza mara mbili kama ndicho alichokimaanisha Diego Simeone (El Cholo) au maana yake ni ipi hasa??
Baada ya kushuhudia timu yake [Atletico Madrid] ikitolewa kwenye mashindano ya Copa del Rey na timu ya Cornella inayocheza ligi daraja la 3, Simeone aliongea kitu ambacho kimezua maswali mengi.
Atletico wameendelea kuwa na matokeo mabaya kwenye Copa del Rey kwa miaka ya hivi karibuni. Mfumo wa kucheza mchezo 1 kwenye mashindano ya hivi karibuni, umeongeza matokeo mabaya kwenye timu hiyo.

Goli 1 liliwatosha Cornella kuwaumiza Atletico na kuwatupa nje ya mashindano hayo kwa mara nyingine mwaka huu.
Akizungumzia mchezo huo, Diego Simeone amesema ” wachezaji wangu walijitahidi kucheza kiushindani. Kipindi cha pili ilikuwa tofauti, mchezo ulikuwa mgumu zaidi baada ya kupata kadi nyekundu.
“Haya mashindano hayajatupa furaha kwa miaka ya hivi karibuni lakini suluhisho linapaswa kupatikana kama tutaendelea kuwepo hapa mwakani.”
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



warda
Yaani Atletico iko poa sana
Sania
Atletico msivunjike moyo
Sabrina
Watakaa sawa tu wasijari
Tatu
Wakaze buti
Adelta
Atletico wako vizuri
Magdalena
Tunasubiri kuona maamuzi yake na msimamo wake
Rahmal
Atletico wako poa sana
Caroline
Bora abaki Atletico
Asia Abdy
Akomae
farida ahmad
Maamuzi yake binafsi
Saupha mohamed
Dhuuu
Lydia Emmanuel Magoti
Hayo ni mamuziyake yeye
Dorophina
Atletico ni timu nzuri angebakia hapo
Mwanahamisi
Wakaze buti
Angelina
Nice update
aisha
Wasikate tamaa
Hopemwaikuka
Sio nzur hii
Sarah
Maamuzi yake hayo