Guardiola: Sitafundisha Klabu Nyingine Baada ya Man City

Guardiola hajioni kama akiondoka ndani ya klabu ya Manchester City atakwenda kufundisha klabu nyingine yeyote nchi nyingine kwa upande wa klabu anaona kama atakua amemaliza, Kocha huyo ameweka wazi labda timu ya taifa ambapo pia hajaweka kama kuna uwezekano mkubwa kutumkia upande huo.
Makala iliyopita
Mohamed Salah Mchezaji Bora NovembaMakala ijayo
Yanga na Mazembe Ni Vita leo Lubumbashi