Yanga na Mazembe Ni Vita leo Lubumbashi

Yanga watakua ugenini kwenye mchezo huu ambao unatarajiwa kupigwa nchini DR Congo katika jiji la Lubumbashi ambapo mchezo wa leo utakua na ushindani mkubwa sana kwani mabingwa hao watetezi wa ligi kuu ya Tanzania wamepoteza mechi zao mbili za awali kwenye ligi ya mabingwa Afrika mpaka sasa na wanaona mchezo wa leo kama nafasi ya kuweza kufufuka.
Makala iliyopita
Guardiola: Sitafundisha Klabu Nyingine Baada ya Man City