Ligi Ianze, Wachezaji Wapo Fiti - Etienne Ndayiragije

Kocha wa Taifa Stars coach amesema Ligi Kuu inahitaji chini ya mwezi kurejea uwanjani kama serikali itaruhusu. Etienne Ndayiragije amekiri timu zinahitaji chini ya mwezi kujiandaa kurejea kwa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Ligi Kuu ya Tanzanian ilisimamishwa Machi baada ya serikali kuzuia mikutano kama njia ya kijikinga dhidi ya Corona, inaweza kurejea wakati yoyote wiki hii kwa maelezo ya Raisi John Magufuli.

Kwa mara ya pili ndani ya mwezi huu, Magufuli amethibitisha ana mpango wa kurejea shughuli za michezo kwasababu ya takwimu za COVID-19 kupungua.

Akiongea baada ya kauli ya Magufuli, Kocha wa Taifa Stars amesema anaamini wachezaji wengi hawatatumia zaidi ya mwezi kurejea kukamilisha msimu.

Etienne Ndayiragije

“Naelewa kuwa vilabu vingi vimewaagiza wachezaji wake ratiba ya mazoezi binafsi kufanya wakiwa nyumbani ili kuhakikisha wana utimamu wa mwili.

“Nina uhakika wachezaji wengi wana ratiba ya mazoezi, hii inamaana tutakapopanga kurejesha msimu haihitaji zaidi ya mazoezi madogo ilikuwa kuwa na ari ya ligi.”

Mkufunzi huyo wa Burundi ametanabaisha kuwa wachezaji wengi wanajuana, hivyo hahitaji muda mrefu kujiandaa kwaajili ya mechi zilizosalia.

“Tuna bahati kwasababu hatujaathirika sana na Lockdown kama nchi nyingine, wachezaji wana muda wakutosha kwenda nje kufanya mazoezi,” Ndayiragije.

40 Komentara

    Kwl kabisa tumemis kuona kandanda na michezo mingne thanks meridian kwa habar za Kimichezo

    Jibu

    Wachezaji wa kibongo ni wavivu unaweza kuta hakuna hata mmoja aliyekuwa anafanya mazoezi binafsi

    Jibu

    Kweli kabisa tumemis michezo asanten Meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Sawa lakini iwe kwa mashaliti

    Jibu

    Kila mdau wa soka nchini Tanzania anasubiri kwa hamu

    Jibu

    Bora ligi iyanze nimemiss kweli kandanda

    Jibu

    Habari nzuri sana maana tumemic kuchek mpira

    Jibu

    Ahsante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema kwa wapenzi wa mpira

    Jibu

    N habari njema ila meridianbet itabidi muangalie kuzishirikisha hata ligi zetu za Tanzania ili wateja tuweze kubet

    Jibu

    Kweli kabisa naianze mana tumemisi sanaaa

    Jibu

    Ila inabidi wachukuliwe vipimo kwanza ndo ligi ifunguliwe#meridianbettz

    Jibu

    Bado wanasubiri ruksa
    Kutoka kwa raisi wao

    Jibu

    Labla nawao wacheze bila mashabiki

    Jibu

    Kweli tumemisi Sana mpira na michezo mingini

    Jibu

    Tumemiss soka la bongo…mpeni Simba ubingwa wake# meridianbettz

    Jibu

    tunangoja kwa hamu kuona ligi za tanzania bara zinarudi

    Jibu

    Mambo ni bambam #Meridianbettz

    Jibu

    Tunasubir kwa amu kandanda lianze..!itakua vizuri na tutasahau korona kabic

    Jibu

    Habari nzuri maana tumemisi kweli kuangalia mpira

    Jibu

    Mungu awe pamoja nasi tu na tuweke utaratibu mzuri kufuatana na maelekezo ya wataalam wa masuala ya afya

    Jibu

    Tunashukuru kwa huu ugonjwa wa corona kupungua ligi zianze kwa kweli

    Jibu

    bola ligi hianze maana mashabiki atuelewi#meridianbettz

    Jibu

    Bora soka ziendelee ili wazidi kuwa fiti zaidi mazoezi ni muhmu Sana kwa afya yao #meridianbet

    Jibu

    Tulisubiri Kwa Hamu

    Jibu

    Itakua vizur zaid

    Jibu

    Tulikua tunaisubili ligi yetu ya nyumbani

    Jibu

    Itakuwah poa kwa mashabiki na wapenzi wa soka na wale wapenzi wamichezo ya kubashir thanks meridian kwa gud news za michezo na burudani

    Jibu

    Itakuwa pouwa sana sema tuu taadhari juu ya ugonjwa was Corona zichukuliwe.

    Jibu

    Itapendezaa

    Jibu

    Yap kikos kazni

    Jibu

    Sawa wameagizwa kufanya mazoezi binafsi lakini inawezekana hakuna utekelezaji, tusubiri kuona hilo ligi ikianza #Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet #

    Jibu

    Nikwel mana mambo sio mazur.

    Jibu

    Nasubiri kwa hamu

    Jibu

    Mtanange mzito huo nausubiri kwa hamu

    Jibu

    Wazeee wakaz wekundu wamsimbazi tuna subili kwahamu

    Jibu

    Bora ligi ianze tumeimis

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.