Mkude Aendelea Vizuri

Miamba ya Ligi Kuu Tanzania Bara Simba wanahisi mchezaji wao nyota Jonas Mkude anaweza kukosekana mechi za mwanzo wakati Ligi ikirejea kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mechi ya kirafiki hapo jana dhidi ya KMC.

Simba SC watasubiri kidogo kujua madhara aliyoyapata Mkude kutokana na majeraha hayo aliyoyapata jana dhidi ya KMC.

Mkude aliumia dakika ya 53 ya mechi kwenye uwanja wa Mo Simba Arena na alikimbizwa haraka hospitali ya Rabininsha Memorial Hospital, ambapo alihudumiwa kisha akaruhusiwa.

Japo, daktari wa Simba, Yassin Gembe amethibitisha kwasasa anaendelea vizuri lakini ataendelea na vipimo kujua kama atakuwa timamu kucheza Ligi itakapo rejea.

“Kwasasa, Mkude ameondoka hospitali akiwa sawa mkabisa, lakini ataendela na vipimo kujua athari ya jeraha,” alisema Gembe.

Pamoja na kutoka kwa Mkude kwenye mechi, Simba walichapa KMC 3-1 na nahodha John Bocco aliweka mbili wakati Ibrahim Ajibu akimaliza la tatu.

52 Komentara

    Good news

    Jibu

    pole mkude mwenyezi mungu yu pamoja na ww utapona

    Jibu

    Habari zote tunazipata kwenu meridian

    Jibu

    Yan siku hizi sina haja ya kununua gaziti habari zote za michezo na burudan nazipata kwenu meridian

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa simba

    Jibu

    Huyu jamaa ameweka heshima kubwa sana pale Msimbazi

    Jibu

    Wana Simba hapo wanapata auheni kidogo mnyama yupo fiti

    Jibu

    Atapona tu

    Jibu

    Pole yake mkude utapona

    Jibu

    Daaah kiungo wa simba ameumia sijui itakuwaje tusubiri mechi nyingine tuone

    Jibu

    pole sana mkude

    Jibu

    Pole sana mkude! Mungu akufanyie wepesi upone haraka

    Jibu

    Ni habari mbaya kwa kikosi cha Simba Mkude ni mchezaji mzur na anahitajika

    Jibu

    Hii ni habari njema kwa wanasimba maana midfield ikikosa wachezaji mahiri kama awa timu inayumba

    Jibu

    Asante kwa taarifa ya mkude Simba tunashukuru kwa hali yake.

    Jibu

    Atapona tuu

    Jibu

    Asante kwa taarifa#meridianbettz..

    Jibu

    Pole yake atapona

    Jibu

    Gud to hear this

    Jibu

    Pole Mkude majeraha yatapona tu

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Mungu amsaidie apone ligi inapo anza awakalishe wapinzani#meridianbettz

    Jibu

    dah ilo n pigo kwa kipnd hik ambacho mambo yanaanza kupendeza

    Jibu

    Japo, daktari wa Simba, Yassin Gembe amethibitisha kwasasa anaendelea vizuri lakini ataendelea na vipimo kujua kama atakuwa timamu kucheza Ligi itakapo rejea. ila nawapa pole majirani zangu kwa kilichowakuta kwa KMC, tatu kwa nyauuu!!!!

    Jibu

    Atapona tu,huyo jeshi.

    Jibu

    Habar njema kwa wapenzi na mashabik wake na wazee wa msimbazi thnks meridian bet tz kwa update za michezo na burudani

    Jibu

    Sio mbaya Kama anaendelea vzur but MUNGU amsaidie apone Thomas mkude

    Jibu

    Habari njema ata Kama akikosa mechi moja izo Zingine atacheza vizur

    Jibu

    Pole sana mkude

    Jibu

    Daaah Pole Sana jeshi.mungu atakusaidia utapona

    Jibu

    Habari njema kwetu mashabiki wa simba

    Jibu

    Vizuri sana mungu amjalie akae fiti zaidi mapambano yaenderehe

    Jibu

    Pole mkude arudi katika aliyake haendelee kupambana

    Jibu

    Jamaa ni noma sana

    Jibu

    Mungu ni mwema

    Jibu

    Alikuwa majeruhi lakini kwa sasa yupo fiti kwa kupambana

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa simba

    Jibu

    Pole mkude mwenyezimungu akupe afya

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habar ni nzuri sana

    Jibu

    Upone haraka mzee Mkude uje kuwakimbiza Yanga

    Jibu

    sasa akipewa likizo asikimbilie kunywa mapombe yake

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    Mungu amponye haraka

    Jibu

    Pole sana mkude mungu atakusaidia utapona mechi zitakapoanza tutakuwa pamoja ##meridianbettz

    Jibu

    Mkude namuombea apone vizuri…na arejee uwanjani kama kawaidaa

    Jibu

    Duuh pole zake Kama anaendelea vizur

    Jibu

    Kiungo fundi

    Jibu

    kama anaendelea vizuri ni habari njema kwa mashabiki wa simba

    Jibu

    Habar njema kwa wanasimba na washabik

    Jibu

    Ni jambo LA kheri atarudi kwenye afya yake soon

    Jibu

    Mwenyezi mungu aendelee kumsimamia asirudi nyuma kiafya

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.