Thiago: Umri ni Namba Tu.

Beki wa Chelsea – Thiago Silva, anasema kwake ‘umri ni namba tu’. Sio sababu ya kushindwa kuendana na kasi za EPL.

[Thiago] Silva amesajiliwa kama mchezaji huru akitokea PSG japokuwa anaumri wa miaka 36 kwa sasa. Mpaka sasa hajaitumikia Chelsea, japokuwa kuna uwezekano akacheza dhidi ya Barnsley kwenye Mashindano ya Carabao.

“Sinashaka kabisa kwasababu ninajua ninapotaka kufika. Nina imani kubwa na timu hii ya vijana.

“Ninajisikia vizuri, umri ni namba tu kwenye taarifa zako. Mimi ninajisikia bado mdogo sana, nilijiandaa kwa muda mrefu.

“Watu wanaonifahamu, wanajua ninawekaga 200% kwenye kazi yangu. Hii ni fursa kubwa ya Chelsea na Lampard kuniamini na sitaki kuwaangusha.

“Sijawahi kujiona kwenye EPL kwa sababu nilidhani ni mfumo mgumu wa kucheza soka. Sikua natamani kucheza EPL kwasababu navutiwa na mpira wa pasi ndefu na mashuti.

“Sikuwa ninatamani ila baada ya muda mambo yalibadilika na kuanza kuvutiwa baada ya kuona ubora wa kiufundi. Timu nyingi zinamiliki mipira, wanashambulia kwa kutumia walizi wa pembeni na kila timu ina namna yake ya uchezaji.

“Ninajua namna ya kucheza hivyo lakini ninapenda kucheza na mpira. Ninaujua ubora wangu, taratibu nitazoea EPL. Yeyote anayenifahamu, analifahamu ilo.

“Katika umri wa miaka 36, nimekuja kucheza kwenye ligi bora duniani. Kawaida hii ni ligi ya wachezaji vijana, lakini nimekuja kama mchezaji mzee. Ninaiona hivyo kwasababu Lampard na Chelsea wamehitaji uzoefu wangu.

“Kama mtu anapendelea mkimbiaji, basi ninaungana na alichosema Ancelloti kwa James ‘ kama unataka mtu mwenye mbio, wangemsajili Usain Bolt'” amesema Thiago Silva.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

34 Komentara

    kweli kabisa ngo’mbe hazeeki maini

    Jibu

    Umenena

    Jibu

    Thiago yupo sahihi ingawa umri umeenda lakini bado miguu unafanya kazi ipasavyo

    Jibu

    Thiago yupo sahihi

    Jibu

    Maneno ameyatupa, tena yana ukweli ndani yake

    Jibu

    Namba za 365days ajidanganye hvy hvy epl ile

    Jibu

    Umenena hakika.

    Jibu

    Kweli kabisah

    Jibu

    Yupo sahii

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Pamoja na umri alionao lakini mbona ana kiwango kizuri

    Jibu

    Ni kweli

    Jibu

    Ama kwa hakika uko sahihi

    Jibu

    Kweli kabsaa

    Jibu

    Thiago uko sahihi umri hausababishi kufanya vibaya iko kipaji umebarikiwa piga kazi tuu achana na namba ata kwenye viatu zipo!!!

    Jibu

    Kweli kabisa

    Jibu

    thiago analolisema lipo sahihi kabisa maana uwezo ndo kitu kikubwa sana katika soka

    Jibu

    True say

    Jibu

    Thiago yupo sahihi japo kua mri hunaenda lakini hana mengi ya kufanya clabuni pale

    Jibu

    Thiago yupo sahihi

    Jibu

    Ni kwelii

    Jibu

    Thiago mtu mbaya

    Jibu

    Kweli umri ni namba hauzui kufanya mambo mengine

    Jibu

    Thiago ni beki mwenye uwezo

    Jibu

    Kwa uwezo alionao ana uwezo wa kucheza miaka hata mi 5 zaid

    Jibu

    Thiago silva yupo sahihi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Ngoja aonje joto ya jua ya Uingereza alafu tutamjaji vizuri sasa hivi hatuna cha kusema

    Jibu

    Ni kweli

    Jibu

    Umri si tatizo umri no

    Jibu

    Pamoja na umri alionao lakini mbona ana kiwango kizuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.