Kocha wa Chelsea – Frank Lampard, anaendelea kusisitiza kwamba hana shaka na uwezo wa Kai Havertz, kwake ni suala la muda tu.
Havertz amesajiliwa akitokea Bayer Leverkusen nchini Ujerumani na anaonekana kama ni mchezaji mwenye nyota inayong’aa na mwenye nafasi ya kuwa mchezaji bora kwa siku za usoni.
Kutokana na uwezo wake wa kucheza katika nafasi mbalimbali, Havertz amekuwa akitajwa kama mchezaji tishio akiwa na umri wa miaka 21 pekee.
Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa Kombe la Carabao, Lampard amesema, “Mpaka sasa, Kai ameshacheza katika nafasi mbalimbali, kama namba 9, 8 na 10. Akiwa Leverkusen, alikuwa akicheza sana upande wa kulia na mimi nina maono yangu.
“Jambo la msingi kwa sasa ni kumuandaa Kai. Tupo katika kipindi ambacho hatuwezi kusubiri. Tunatakiwa kumuandaa kikamilifu na tutaelewana kwamba kwanini yupo hapa.”
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


felister
Lampard yupo sahihi
Theckla
Sahihi
Dorophina
Lampard anamuamini sana kai na kumpa asilimia zote kwasababu anajua nini anafanya
Mwanahamisi
Lampard yupo sahihi
Sauda
Kweli kabisa
Frank P
Amtulize nafasi moja mbali na maono yake Kai anaonekana mwepesi sana Epl
Latifa juma mohamed
Yupo sahihi lampard.
farida ahmadi
Lampard kocha mzuri Sana
Nasra
Yupo vzuri kocha
Mwajumah
Lampard yupo sahihi
Fatuma kasomo
Yupo sahihi
Caroline
Kai Havertz ni kiungo mzuri sana
Angelina
Yuko vizur
Adelta
Kocha lampard Yuko vizuri na anajuwa jukumu lake
Fatina mfigi
Kocha yuko vizur
Salma ngende
Yupo sahihi
Rose kapinga
Lampard ameona mbali sana,ndio maana imani yake ipo kwa kai anajua ataleta maendeleo kikosini kutokana na juhudi zake na uchezaji wake!!
Samiah
Yupo sawa
magdalena
havertz yupo makini sana lampard ana haki ya kusema ivyo
Hopemwaikuka
Me too
Zeiyana
Chelsea wamesajiri wachezaji wengi na wenye uwezo kilichobaki kazi ya kocha tu kipanga safu yake ya ulizi
Gabriel
Lampard anamuamini sana kai Havertz
Saupha mohamed
Yupo vizueri
aisha
Lampard yuko sahihi kabisa
Khadija
Lampard namkubali
Amiri Kayera
Kai kiwango chake kipo vzur
Issa
Kai atatupia sana kwa midifield zilizopo hapa the blues ni balaa
Sabrina
Lampard makini sana
Marry
vzr
Rehema
Fresh
Ernest
Kwa style ya uchezaji wa Kai Havertz atachukua muda sana kuizoea ligi ya Uingereza ukimuangalia ni kama Mahrez wa Mancity
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri alicho kisema Lampard
Tatu
Lampard ana kikosi kizuri tu
David Pere
Amtulize nafasi moja mbali na maono yake Kai anaonekana mwepesi sana Epl