Vertonghen na Vorm Waongezewa Mikataba Spurs

Beki wa Tottenham, Jan Vertonghen amesaini nyongeza ya mkataba hadi mwishoni mwa msimu.

Mbeligiji huyo mwenye miaka 33 mkataba wake wa awali ulikuwa unamalizika Juni 30.

Vertonghen alijiunga na Spurs akitokea Ajax 2012 na alisema mwezi Aprili kuwa vilabu tofauti vimekuja na ofa nzuri.

Sambamba na hilo golikipa Mdachi, Michel Vorm, 36, pia ameongeza mkataba kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya London.

Tottenham mechi ya mwisho kwa msimu huu, baada ya Ligi kusimama kwasababu ya Corna itakuwa dhidi ya Crystal Palace Julai 26.

Wachezaji wa Spurs ambao mikataba yao ya mkopo inaelekea ukingoni, ikiwemo Danny Rose akiwa Newcastle, atasalia huko hadi mwisho wa msimu wa 2019-20.

50 Komentara

    Spurs imefanya vizuri kuwapa mikataba wamewasaidia sana msimu unaoisha

    Jibu

    Tottenham imefanya vzur kwa mkongwe huyo kumongezea mkataba maana ukiangalia vertonghen tokea aingie Hotspur 2012 tunaona mafanikio yake pamoja na worm ,vertonghen ni beki ambaye kwa upande wangu naweza kumuita kisiki maana tunamtambua vzur sana kitendo cha kuongezewa mkataba kinawapa matumain makubwa na club yao

    Jibu

    Hongera kwao vijana wa spurs kwa kuongeza mkataba

    Jibu

    Morinho ameona umuhimu wao kwenye timu Ndio maana amewaongezea mikataba

    Jibu

    Habari njema hiyo kwa mashabiki wa Tottenham

    Jibu

    Jan Vertonghen bado wamo na Tottenham haijapata mbadala wake#meridianbettz

    Jibu

    Maoni:Hongera kwa kwa kusain mkataba na kuendelea kusalia katika kikosi cha Tottenham

    Jibu

    Wanastahili hilo kwasababu bado wachezaji wazuri

    Jibu

    Still wanahitajika clubuni hapo kwa huduma hongera kwao kwa kuonekana na timu kua Bado wanaumuhimu

    Jibu

    Spurs wamefanya kitu cha msingi! Bado ni mchezaji muhimu sana hapo tottham

    Jibu

    Wameona umuhimu ndio maana wameendeleza mkataba

    Jibu

    mou na watu wake wenye umri mkubwa

    Jibu

    Ni habar njema kwao namashabiki wa spurs

    Jibu

    Wako vizuri ndomaana wakaamua kuongeza mkataba.jambo jema

    Jibu

    Habar nzur

    Jibu

    Hengera sana vertonghen

    Jibu

    Safi sana kwa vertonghen

    Jibu

    Vertonghen amekuwa na msimu mzuri sana ndani ya Spurs, Ni jambo zuri kuona kama anaendelea kusalia ndani ya kikosi cha spurs.

    Jibu

    Saf San Liverpool

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Vertonghen ni beki bora na tangia alipo jiunga tottenham kafanya mengi sana licha ya umri kumtupa mkono ila bado anamchango mkubwa na timu hiyo mpaka wanahitaji sahihi yake kwa kuitumikia tena tottenham

    Jibu

    Ni wachezaji wazuri wanastahili kupewa mkataba mwingine

    Jibu

    Hawajakosea

    Jibu

    Wako vizuri sana spurs na maamuzi yao pia mazuri.

    Jibu

    Habari njema kwa mashabik

    Jibu

    Ni beki mzr tuu japo umri umemtupa mkono bado yupo fit kulisongesha gurudumu na spurs wanashindwa kumuuza kwa sasa kwa sabab mpk sasa hawajapata replacement wake kwenye nafasi hyo

    Jibu

    Ni kama miezi mitatu fran hv Mou sasa ajirekebishe na afanye kuwaamini makinda zaidi ya hao umri magharibi

    Jibu

    Ni vizuri kuongezewa mkataba

    Jibu

    Jambo zuri Sana la kuwaongezea mikataba

    Jibu

    Ni vizuri #Meridianbettz

    Jibu

    Ni Jambo jema sana hilo

    Jibu

    Hongera kwao kwavijana wa spurs kwakuongeza mkataba

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    hongera Jan kwa kuongeza mkataba mwengine

    Jibu

    Kwa upande wangu naweza kumuita kisiki maana tunamtambua vzuri sana kitendo cha kumuongezea mkataba ni habari njema kwa mashabiki na pia bado clabu inamanufaa naye

    Jibu

    Awajakosea

    Jibu

    Hongera

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Tottenham haijapata mbadala wake#meridianbettz

    Jibu

    Pongezi sana kupata mikatama mjngine wameona umuhimu wenu katika timu haswa beki vertonghen licha ya umri wake mkubwa lakini anaumujimu mkubwa katika timu mana anatumia akili sana uwanjani pongezi sana vertobghen

    Jibu

    Hongera kwao.acha tuendelee kucheka gem msimu ujao

    Jibu

    Wapo sahihi hongera kwao kwa kuongeza mkataba.

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Tottenham haijapata mbadala wake#meridianbettz

    Jibu

    Hongera kwao ni jambo zuri kusikia mashabiki wa spurs

    Jibu

    Hiyo imekaa poa

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.