Chelsea Kumfanya Osimhen Kuwa Chaguo Lao Namba 1 Januari
Chelsea wanajipanga kumfanya Victor Osimhen kuwa mlengwa wao nambari 1 kwenye dirisha la usajili la Januari. Chelsea walihusishwa na kutaka kumnunua mshambuliaji huyo wa Napoli majira ya joto kufuatia …