Arteta Alenga Kujenga Timu Itakayoshinda Baada ya Kuvunjika Moyo Msimu Uliopita
Mikel Arteta amefichua kuwa analenga kujenga timu yenye uwezo wa kushinda Ligi Kuu baada ya timu yake kudorora mwishoni mwa msimu uliopita. The Gunners walimaliza nafasi ya pili nyuma …
Manchester United Hawaongezi Hela kwa Mount
Klabu ya Manchester United imeripotiwa haina mpango wa kuongeza dau kwajili ya kiungo wa klabu ya Chelsea Mason Mount baada ya ofa yao ya tatu kukataliwa. Chelsea wamekataa ofa tatu …
City Yakubaliana Masharti Binafsi na Gvardiol wa Leipzig
Mabingwa wa Ligi kuu ya Uingereza na washindi wa Treble Manchester City wameripotiwa kukubaliana na RB Leipzig prodigy Josko Gvardiol. Mtaalamu wa masuala ya uhamisho Fabrizio Romano anaripoti kuwa …
Lisandro Martinez Arejea Kiwanjani
Beki wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Argentina Lisandro Martinez hatimae ameonekana kurejea kiwanjani baada ya kupata majeraha yaliyomueka nje kwa miezi takribani miwili. Lisandro Martinez …
CAF SUPER LEAGUE KUANZA OKTOBA
Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe amethibitisha kuwa michuano ya African Super League itaanza kutimua vumbi mwezi Oktoba mwaka huu na kuongeza kwamba kutakuwa na jina …
Yanga Yamkomalie Mayele
WAKATI akiwa anatajwa kutaka kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga mabosi wamemkomalia nyota wao mwenye mabao 24 katika mashindano ya Kombe la Shirikisho na Ligi Kuu Bara. Ni Fiston Mayele …
Yanga Wagawa Thank You kwa Wanne
WAKATI Simba wameshaacha jumla ya wachezaji saba hadi Sasa Kwa upande wa Wananchi ni MASTAA wanne wameachwa mazima ndani ya kikosi cha Yanga kuelekea kwenye mpango kazi wa kuunda kikosi …
Hakimi Yuko Sana PSG
Beki wa kulia wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Morocco Achraf Hakimi inaelezwa bado yupo sana ndani ya klabu hiyo ya mabingwa wa Ufaransa licha kutakiwa na …
Crystal Palace Inamtambua Schuurs Kama Mbadala wa Guehi
Crystal Palace wameelekeza macho yao kwa mlinzi wa Torino Perr Schuurs huku wakitafuta mbadala wa Marc Guehi. Beki huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 22 ameng’ara London Kusini …
Roma Ina Mpango wa Kumsajili McKennie
Mkurugenzi wa Roma Tiago Pinto ameripotiwa kuwasiliana na msafara wa Weston McKennie ili kuanza kuchunguza uwezekano wa kuhama. Kiungo huyo wa kati wa Marekani mwenye umri wa miaka 24 …

