Willock: “Newcastle Ilikuwa Inaidai United Baada ya Kushinda Kombe la EFL”
Joe Willock anaamini kuwa Newcastle ilikuwa “inadaiwa” United na wakilipiza kisasi kwa kushindwa kwao fainali ya Kombe la Carabao na Mashetani Wekundu kwa ushindi wa 2-0 wa Ligi Kuu ya …
Pique Aionya Barcelona Kuwa Kumlazimisha Messi Kurudi Kunaweza Kusizae Matunda
Gerard Pique amewaonya Barcelona kwamba kumlazimisha Lionel Messi kurejea Camp Nou kunaweza “kusizae matunda”. Messi anakaribia mwisho wa mkataba wake wa miaka miwili na Paris Saint-Germain, baada ya kujiunga …
Liver Wanamlenga Gallagher Ili Kurekebisha Safu ya Kiungo Msimu Ujao
Klabu ya Liverpool ambayo ipo chini ya kocha mkuu Klopp wanamtazama Conor Gallagher wa Chelsea kama kiungo wanayemhitaji sana majira ya joto. Jurgen Klopp na Liverpool yake anatamani sana …
De Bruyne Anaamini City Inaweza Kustahimili Bila Uwepo wa Haaland
Kevin De Bruyne anaamini ushindi wa Manchester City wa 4-1 dhidi ya Liverpool Jumamosi ulionyesha wanaweza kumudu bila uwepo wa Erling Haaland. Mshambuliaji huyo wa Norway Haaland, ndiye anaongoza …
Chelsea Yamtimua Graham Potter
Klabu ya Chelsea imemtimua Graham Potter baada ya kuwa mkufunzi mbaya asiyepata matokeo ambayo timu hiyo ikihitaji. Potter mwenye miaka 47, aliondoka Brighton na kuchukua mikoba ya Stamford Bridge …
Shaw: “United Ilikosa Njaa na Hamu Katika Kuishinda Newcastle”
Luke Shaw anaamini kuwa Manchester United ilikosa shauku, hamu, njaa na mtazamo katika mchezo wao wa jana na kuwafanya kupoteza kwa mabao 2-0 Jumapili dhidi ya Newcastle. Onyesho zuri …
Leao Ang’ara Kwenye Mechi ya Jana Dhidi ya Napoli
Stefano Pioli amemsifu Rafael Leao baada ya kurejea katika fomu yake kwa kufunga mabao mawili katika ushindi wa ajabu wa AC Milan wa 4-0 dhidi ya Napoli, akitangaza kuwa mshambuliaji …
Spalletti Ana Uhakika Atajibu Mashambulizi Kwenye UEFA Baada ya Kupigwa Jana
Luciano Spalletti ana imani Napoli itazinduka watakapomenyana na Milan katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, baada ya kushuhudia timu yake ikipokea kichapo cha mabao 4-0 dhidi ya Milan hapo …
James Ameapa Kuwa Chelsea Wanafanya Kazi kwa Bidii Kujiondoa Gizani
Reece James anasisitiza kuwa Chelsea wanatatizika wanafanya bidii kuokoa msimu wao lakini juhudi hizo zimeshindwa kumweka kocha Graham Potter kwenye kibarua chake. The Blues walishuka hadi kumi la pili …
Yanga Yaungana na Simba Kwenye Rekodi Hii
Klabu ya Yanga imeungana na watani zao klabu ya Simba kuandika rekodi baada ya kufanikiwa kuongoza kundi kwenye kombe la shirikisho Afrika baada ya kufikisha jumla ya alama 13. Yanga …

