Tuchel: Nilishangazwa Bayern Kunihitaji Wakati Huu
Kocha wa klabu ya Bayern Munich Thomas Tuchel amesema alishangazwa na mabosi wa klabu ya Bayern kumtafuta kipindi hichi kwakua hakua anawaza kufanya kazi majira haya na alipanga kurudi kazini …
Wachezaji wa Kiislamu Waruhusiwa Kufturu kipindi cha Mwezi wa Ramadhan
Mamlaka ya Ligi kuu ya Uingereza imepitisha utaratibu mzuri wa kuwaruhusu wachezaji wenye imani ya Kiislamu kufturu katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan, wakati wa michezo yote ya …
Allegri: “Hatukucheza Vizuri Sana Jana”
Kocha mkuu wa Juventus Massimiliano Allegri amesema timu yake “haikucheza vizuri” na kumfanya aongee muda wote katika ushindi wao wa nyumbani wa 1-0 dhidi ya Verona. Bianconeri walipata ushindi …
Leicester City Wanamtaka Harry Maguire kwa Mkopo
Leicester City wanataka kumsajili kwa mkopo beki wa Manchester United Harry Maguire ambaye amekuwa sio chaguo namba moja ndani ya Mashetani Wekundu. Nahodha huyo wa Mashetani Wekundu ameacha kupewa …
Uzembe wa Lukaku Wamkasirisha Inzaghi
Simone Inzaghi hakuficha kuchanganyikiwa kwake katika pambano la Romelu Lukaku mbele ya lango baada ya Inter kushindwa 1-0 dhidi ya Fiorentina hapo jana. Msururu wa kupoteza kwa Inter katika …
Graham Potter Awatuliza Mashabiki| Akubali Kukosolewa
Kocha mkuu wa klabu ya Chelsea Graham Potter ametoka nje na kuzungumzia matokeo ya jana baada ya timu yake kucharazwa mabao 0-2 katika dimba lao la nyumbani la Stamford Bridge. …
Potter Achanganyikiwa Baada ya Kupoteza Mchezo Hapo Jana Akiwa Nyumbani
Graham Potter amekasirishwa baada ya timu yake Chelsea kushindwa nyumbani dhidi ya Aston Villa hapo jana. Ollie Watkins aliifungia Villa bao la kuongoza kwa shuti kali baada ya dakika …
Imefahamika Hawa hapa Wapinzani wa Simba CAF
Simba SC ndiye mwakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu bingwa barani Afrika, amefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ikiwa ni mara ya 3 lakini swali kubwa linagonga vichwa …
Tuchel Aanza Kibabe Bayern Munich
Kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea Thomas Tuchel ambaye anaifundisha klabu ya Bayern Munich kwasasa amefanikiwa kuanza vizuri ndani ya timu hiyo baada ya kuifunga klabu yake ya zamani …
Klopp: Tusingeshinda Hata City Wangekua kumi
Kocha wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amesema kua haamini kama klabu yake ingeweza kushinda hata wapinzani wao klabu ya Manchester City wangekua na wachezaji kumi kiwanjani kutokana na namna …

