Guardiola:Ushindi dhidi ya Liverpool ni Ushindi bora zaidi Kwangu
Daily News

Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amewapongeza wachezaji wake kutokana na kiwango walichokionesha katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Liverpool na kufanikiwa kupata alama tatu …

Soma zaidi
Arsenal Haishikiki Yaibamiza Leeds United
Daily News

Arsenal wameendeleza moto wake kwenye ligi kuu ya Uingereza baada ya kufanikiwa kupata ushindi mnono dhidi ya klabu ya Leeds United na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo. …

Soma zaidi
Manchester City Yaicharaza Liverpool
Daily News

Klabu ya Manchester City wakiwa katika dimba lao la nyumbani imeicharaza klabu ya Liverpool kwa mabao manne kwa moja katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza mapema leo. Klabu ya …

Soma zaidi
Haaland Hayupo Kwenye Kikosi cha City Kitakachomenyana na Liverpool Leo
Daily News

Erling Haaland hajajumuishwa kwenye kikosi cha Manchester City kitakachomenyana na Liverpool leo baada ya kushindwa kupona jeraha la paja.   Nyota huyo wa Norway ana mabao 42 katika mechi 37 …

Soma zaidi
Klopp Amethibitisha kuwa Liverpool Wananuia Kumaliza Msimu Vizuri
Daily News

Liverpool itatafuta kutumia mwisho wa msimu huu huku Jurgen Klopp akipanga kuwajenga upya wachezaji kabla ligi kuu ya Uingereza haijamalizka.   Baada ya kushika nafasi ya pili kwa pointi 92 …

Soma zaidi
Chelsea Waibuka Kama Washindani Wakuu Katika Mbio za Kumuwania Osimhen
Daily News

Chelsea wameibuka kuwa washindani wakuu wa kumuwana Victor Osimhen wa Napoli ambaye timu nyingi zinamvizia.   Mnigeria huyo ni mmoja wa vinara wanaotafutwa sana barani Ulaya baada ya kufunga mabao …

Soma zaidi
Arsenal, Man Utd na PSG Wanamuwania Tchouameni
Daily News

Arsenal, Manchester United na Paris Saint-Germain ni miongoni mwa vilabu vikubwa vinavyoripotiwa kutaka kumnunua kiungo wa Real Madrid Aurelien Tchouameni.   Tchouameni aliwasili Madrid Julai mwaka jana akitokea Monaco kwa …

Soma zaidi
Galtier: PSG Wanafanyia Kazi Mipango ya Msimu Ujao, Ikiwa ni Pamoja na Mazungumzo na Messi
Ligue 1

Kocha mkuu wa Paris Saint-Germain Christophe Galtier ana matumaini kuhusu mipango ya klabu hiyo kwa msimu ujao, lakini anakiri kuwa kuna sehemu ambazo zinahitaji kuboreshwa “kwa kiasi kikubwa”.   PSG …

Soma zaidi
Doucoure Awataka Everton Kuboresha Rekodi ya Kufunga Mabao
Daily News

Abdoulaye Doucoure amekiri Everton lazima itafute namna ya kupachika mabao haraka ili kuepuka kushuka daraja katika Ligi kuu ya Uingereza.   The Merseysiders ndio wafungaji wa pamoja na wa chini …

Soma zaidi
Al Nassr Yasherehekea Ronaldo Kuweka Rekodi Ureno
Daily News

Al Nassr wamesherehekea uchezaji wa Cristiano Ronaldo ambao umevunja rekodi katika Taifa la Ureno.   Kwa kuzingatia kujitolea kwake katika soka Ronaldo anaweza kuwa hakula keki aliyokabidhiwa hapo jana. Al …

Soma zaidi
1 2 3 544 545 546 547 548 549 550 2,272 2,273 2,274
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.