Aucho Anataka Kuiacha Yanga

Kiungo wa Yanga Khalid Aucho amaeomba kuondoka klabuni hapo na kufanya kuiweka klabu hiyo katika wakati mgumu baada ya uamuzi huo huku pia wachezaji wengine mikataba yao ikitarajia kumalizika.

 

Aucho Anataka Kuiacha Yanga

 Timu hiyo inahesabu masaa kabla ya kushuka Dimbani kwa Mkapa kumenyana na Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi Kuu baada ya kutoka kupoteza mechi yao iliyopita dhidi ya Ihefu.

Lakini pia kiungo wao kutoka Zanzibar Feisal Salum mkataba wake unalaizika hivi karibuni na viongozi wa timu hiyo wanataka kumpa mkataba mpya huku ofa mbalimbali zikimiminika ikiwemo ya Azam FC.

Aucho yeye ameomba asiongezwe mkataba mkataba mpya ili aweze kuondoka Jangwani hapo na kwenda kujiunga na timu huko Uarabuni, huku mkataba wake ukielekea kumalizika .
Aucho Anataka Kuiacha Yanga

Pia taarifa zingine zinasema kuwa beki wa kati Dickon Job na golikipa wao namba moja Djigui Diarra, viongozi wanafanya harakati za kuzungumza nao ili wawaongezee mkataba kabla ya ile ya awali haijaisha.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.