Breaking News: Emam Ashour Ateguka Bega, El Shahat Kusafiri Kuiwahi Simba Dar

Nyota wa Al Ahly na timu ya Taifa ya Misri Hussein El Shahat atasafiri na kikosi cha Al-Ahly kuja jijini Dar Es Salaam Kwa ajili ya mechi ya Simba SC kwani imeripotiwa kwamba maendeleo yake ya majeraha ni mazuri. Odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni njia rahisi ya kukupa mtonyo mrefu. Ingia mchezoni hapa.

simba

Kulikuwa na uvumi mitandaoni kuwa huenda Ahly wangemkosa nyota huyo Kwa kipindi kirefu lakini jeraha lake alilopata kwenye kambi ya timu ya Taifa ni dogo sana kiasi ambacho anaweza kutumika kama kocha wa klabu hiyo Marcel Koller ataamua kumtumia.

El Shahat ameshafunga mabao 3 kwenye hatua ya makundi ya CAF CL msimu huu na tangu hatua ya awali amefunga mabao 5 huku yeye na Ali Maaloul wanaocheza upande wa kushoto wakichangia kupatikana kwa mabao 9, hawa ni wachezaji hatari zaidi wa kuchungwa na Simba SC kwenye mchezo huo hatua ya kwanza robo fainali. Jisajili na Meridianbet upate bonasi za kasino kibao na odds kubwa za ubashiri kwa machaguo kibao.

Hata hivyo bado Kocha wa Al-Ahly Marcel Koller anaweza kumtumia Reda Slim katika upande huo kama ilivyo kwa Magdy Afsha na wakati mwingine huwatumia Emam Ashour huyu nae kwa bahati mbaya amepata jeraha la kuteguka bega kwenye mchezo kati ya Misri na New Zealand au Karim!

Simba itajitupa uwanjani siku ya Ijumaa ya Machi 29, saa 3:00 usiku kuwavaa Nadi El Qarn ama mashetani wekundu wengi wanawafahamu pia kam Wananchi huku wao wakijichimbia Zanzibar kujiandaa na mchezo huo utakaoweza kuubashiri mubashara kupitia Meridianbet, odds kubwa kwenye machaguo mengi na bonasi za kasino kibao unazipata.

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Acha ujumbe