Bondia mkongwe wa ngumi za kulipwa TANZANIA Abdallah Pazi (29) maarufu kwa jina la Dullah Mbabe usiku wa kuamkia leo alipanda ulingoni kupambana na bondia mwenzake Chimwemwe Chiotcha (39) kutoka nchini Malawi na kumshinda kwa TKO raundi ya nne. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

Baada ya kupoteza dhidi ya Twaha Kiduku, Dullah Mbabe hakuwa kupambana na bondia mwenye kiwango kikubwa kama Chimwemwe, lakini matokeo ya mechi hiyo yalimalizika na ushindi wa TKO baada ya mpinzani wake kupasuka paji la uso na hivyo pambano kumalizwa kwa kanuni.
Rekodi za Dullah Mbabe amepigana mashindano 46, ameshinda mara 32, kwa KO 29, kupoteza kwa KO ni mara 2, sare ni 1 na raundi alizopigana jumla ni 210 mpaka jana usiku. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.
Rekodi za mpinzani wake ambaye ni Chimwemwe amepigana mara 30 ushindi 17, kwa KO mara 12 na kupoteza kwa KO mara 5, sare ni mara moja na raundi alizopigana ni 201. Meridianbet wanatoa ODDS kubwa kwenye mechi zote. Bashiri hapa.

