Timu ya Yanga Princess imefanikiwa kuingia Fainali ya michuano ya Ngao ya Jamii kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya kufungana bao 1-1 na watani, Simba Queens jioni ya Jana kwenye Uwanja Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge Jijini Dar es Salaam.
Yanga Princess walitangulia kwa bao la dakika ya kwanza tu la kupitia kwa Kiungo Mpya wa Timu Hiyo Agness Palangyo, kabla ya mshambuliaji wa Kimataifa wa Kenya, Jentrix Shikangwa Milimu kuisawazishia Simba Queens dakika ya 88.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Ushindi huo unamfanya Kocha Mkuu wa Timu Hiyo na Mwenye mbwembwe nyingi Edna Lema (Morinyo) kuingia kwenye vitabu vya kumbukumbu ya kuwa kocha wa kwanza wa Yanga Princess kuwafunga Simba Queens mara mbili na kuwa kocha wa kwanza kuipeleka Timu Hiyo Fainali ya Ngao ya Jamii.
Yanga Princess’s watacheza fainali ya JKT Queens na Simba Queeens watacheza kusaka mshindi wa tatu na Ceasiaa Queens kesho kutwa tarehe 5.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.