MSIGWA: SIMBA WATATOA UGENINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa ameeleza kuwa mchezo wa Simba dhidi ya Al Ahly ya Misri hauna goli la Mama kutokana na matokeo ya mabao 2-2.

Pia ameeleza kuwa kama Wizara wamejifunza namna ya kuandaa matukio makubwa ya mpira wa miguu.

Pia ametoa rai kwa mashabiki kuwa watunze miundombinu ya Uwanja kwani Serikali imefanya kazi kubwa na nzuri.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.