MWAMNYETO BEKI GHALI WA KIZAWA

NAHODHA na beki wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto ameongeza mkataba mwingine wa miaka miwili wa kuendelea kubakia hapo na mkataba huo Umefanya kuwa Beki ghali zaidi nchini na Afrika Mashariki.

 

Mkataba huo wa miaka miwili Umefanya nyota huyo avune takribani milioni 300 na mshahara wa takribani milioni 10 Kwa Mujibu wa chanzo Cha ndani kutoka Kwa watu wa karibu wa Beki huyo.

MWAMNYETO

Mwamnyeto ameongeza mkataba huo, baada ya kufikia muafaka mzuri na Uongozi wa timu hiyo, katika dau la usajili na mshahara atakaouchukua ndani ya miaka miwili atakayokuwepo hapo.

 

Beki huyo alisaini mkataba huo, chini ya Mtendaji wa Klabu ya Yanga, Andre Mtine na Menejimenti ya Mwamnyeto.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.