Wachezaji 9 wa Simba Kuikosa Dodoma Jiji Kesho

Klabu ya Simba jana ilisafiri kuelekea Dodoma ambapo wanatarajia kushuka dimbani kukiwasha dhidi ya klabu ya Dodoma Jiji kwenye mechi ya 21 ya Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara.

 

Wachezaji 9 wa Simba Kuikosa Dodoma Jiji Kesho

Lakini wachezaji takribani 9 wa Simba wataikosa mechi hiyo kutokana na sababu mbili ikiwemo majeruhi pamoja na wengine kupewa kadi za njano mfululizo kwenye mechi ambazo wamecheza.

Wachezaji ambao ni majeruhi ni pamoja na Peter Banda, Mosses Phiri, Henock Inonga, Jonas Mkude na Cloutus Chota Chama ambaye inasemekana mechi iliyopita alitolewa nje kwasababu alikuwa mgonjwa.

Wachezaji 9 wa Simba Kuikosa Dodoma Jiji Kesho

Lakini wachezaji wengine ambao watakosa mchezo kutokana na kadi za njano ni pamoja na Sadio Kanoute, Pape Ousmane Sakho, Mzamiru Yassin pamoja na beki wa kati Joash Onyango.

Hivyo kesho timu hiyo inabidi waangalie wachezaji wengine ambao watacheza mchezo huo na kukupiga na Dodoma Jiji kwnai pia imefanya usajili dirisha hili dogo.

Wachezaji 9 wa Simba Kuikosa Dodoma Jiji Kesho

Mechi 5 za mwisho kukutana kati ya Msimbazi na Walima Zabibu, Mnyama ameshinda zote.

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.