YANGA HAWANA JAMBO DOGO

Uongozi wa Yanga umebainisha kuwa baada ya utambulisho wa Israel Mwenda kuna wachezaji wengine ambao wapo njiani kutambulishwa taratibu zikikamilika hivyo mashabiki wawe na utulivu.

YANGA HAWANA JAMBO DOGO

Miongoni mwa nyota ambao wanatajwa kuwa kwenye rada za Yanga ni Josephat Bandawa Singida Black Stars ambaye amekuwa kwenye ubora wake ndani ya timu hiyo.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Ikumbukwe kwamba Mwenda alitambulishwa ndani ya Yanga akiwa ni mchezaji wa kwanza kwenye dirisha dogo jina lake kuwa ni njano na kijani ameanza mazoezi na wachezaji wenzake yeye ni beki mwenye uwezo wa kucheza kulia na kushoto.

YANGA HAWANA JAMBO DOGO

Aly Kamwe Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa baada ya Mwenda kuna wachezaji wengine wapo njiani hivyo watawashangaza kutokana na jambo hilo.

Unaona tumemtambulisha Israel Mwenda huyu ni mchezaji wa kazi haina maana kwamba kazi imeisha hapana bado tunaendelea na tutawambulisha wengine hivi karibuni.

“Ukitaka kujua ni nani anakuja sikuambii kwa sasa na wala hatutawaambia bali mpaka usajili utakapokamilika tunajua malengo yetu na yote yatatimia.”

Acha ujumbe