YANGA KUWAFUATA LEO CR BELOUZIDAD

Klabu ya Yanga itasafiri leo Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi klabu bingwa Afrika.

 

YANGA KUWAFUATA LEO CR BELOUZIDAD

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Pia Yanga leo siku ya Jumatatu hii watazindua Jezi za michuano ya klabu bingwa Afrika, ambapo watazindua jezi mapema na Usiku wataanza safari ya kuelekea Algeria.

Yanga na CR Belouzidad watacheza mechi yao Novemba 25 nchini Algeria ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi.

YANGA KUWAFUATA LEO CR BELOUZIDAD

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Acha ujumbe