Abramovich : Dortmund Itamruhusu Haaland Kutua Chelsea.

 

Mmiliki wa Klabu ya The Bluez, Roman Abramovich anaamini klabu ya Borussia Dortmund itamruhusu Haaland kujiunga na Chelsea majira haya ya kiangazi.

 

Kwamujibu wa taarifa kutoka Uingereza zimebainisha kuwa Abramovich amesema ni matumaini yake kuwa klabu hiyo ya ujerumani itamuachia Haaland kujiunga na Chelsea, mazungumzo ya pande hizo mbili yanaendelea ili kukamilisha mpango wa Haaland kutua Darajani.

Chelsea wameweka nguvu zao Kwa Haaland mara baada ya mchakato wa kumpata Harry kane na Romelu Lukaku kuonekana Kuwa na vikwazo vingi.

Chelsea watarajia kupata upinzani mkubwa kutoka Kwa Real Madrid, Bayern Munich na Manchester city ambao wote wameonesha dhamira ya kutaka kumsajili kinda huyo wa Dortmund.


KUSANYA PESA HAPA!

IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!Meridianbet

INGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.