Aston Villa Kuipiku Arsenal kwa Onana
Makala iliyopita
Uingereza Kutupa Karata yake ya Kwanza Euro2024 Leo
Makala ijayo
Uholanzi Waanza na Ushindi Euro2024
Arsenal wamekua wakimfukuzia Amadou Onana kwa miezi sasa lakini hawakufanikiwa kupeleka ofa rasmi kwa klabu ya Everton, Huku taarifa zinaeleza kua Aston Villa hawataki kupoteza muda wanajiandaa kupeleka ofa kwa klabu ya Everton mapema ili kuweza kukamilisha dili hilo mapema.