Uingereza Kutupa Karata yake ya Kwanza Euro2024 Leo

Makala iliyopita
Lautaro Martinez Mbioni Kusaini Mkataba Mpya InterMakala ijayo
Aston Villa Kuipiku Arsenal kwa Onana
Kinachofanya Uingereza isubiriwe kwa hamu zaidi kwenye michuano hiyo ni kutokana na ubora wao, majina ambayo wanayo kwenye kikosi chao, lakini pia ni moja ya timu ambazo zinapewa nafasi ya kutwaa taji la michuano hiyo baada ya kucheza vizuri kwenye michuano iliyopita na kufankiwa kucheza fainali.
Baada ya kucheza fainali ya michuano ya Euro 2020 dhidi ya timu ya taifa ya Italia na kufungwa kwenye changamoto ya mikwaju ya penati, Leo Uingereza wanaanza safari ya kuhakikisha wanalitwaa taji hilo mbele ya timu ya taifa ya Serbia wakiwa ni moja timu yenye vipaji vya hali ya juu kwenye michuano hiyo.