Nahodha Simba SC, John Bocco amepima maandalizi yao kuelekea kurejea kwa Vodacom Premier League (VPL) na amekiri mawazo yao yote kwasasa yanaelekea kwenye mechi ya Ruvu Shooting.
Mechi hiyo itakuwa ya kwanza kwa Wekundu wa Msimbazi kutetea ubingwa wao tangu Ligi isimame mwezi Machi. Japo Bocco anajua changamoto iliyopo mbele yao, lakini amesema watapambana kuhakikisha wanatetea ubingwa wao wa VPL na kufanya vizuri kwenye Kombe la FA.

“Kwenye mawazo yetu tunautizama mchezo wa kwanza lakini tunajua Ligi itakuwa ngumu kwani kila timu imejiandaa vizuri. Ameiambia tovuti ya klabu.
“Tunafikiria kuhusu mchezo wetu dhidi ya Ruvu Shooting, tunatakiwa tushinde ilikujiweka katika nafasi nzuri ya kutetea ubingwa wetu.”


Neema juma
Ushindii ni lazimaa na lazima mshindee
lombo
simba kwa sas haina mpinzan kwa tanzania mzima
Samira
Simba ushindi lazima
Hamidu
Simba babao !hakuna anayemzuia kushindwa kuchukua ubingwa#meridianbettz
Zeiyana
Simba wako vizur swala la kuchukua ubingwa liko wazi
Magdalena
Ushindi kwa Simba huo ndo mpango mzima
Johnmary joel
Kushinda lazima ondoa shake ushindi wenu#meridianbett
Genia Sikaluzwe
Simba wako vizuri lazma wa chukuwe ubingwa
Frank Patrick
Anayemfuata kwa point ni team gani na ina point ngapi?
Caroline
Simba bwana
Elika
Simba wako vizur sana
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii akuna kulala Simba sio yamchezo mchezo ubingwa hupo mwendo wa kuwakimbiza tuu
Ester jackson
mawazo yetu tunautizama mchezo wa kwanza lakini tunajua Ligi itakuwa ngumu kwani kila timu imejiandaa vizuri
Gabriel
Cha msingi mpira n uwanjan tutaendelea kuona Kama kwel
Tahiya
Yuko sahihi nahodha wetu John Bocco Adebayo Simba tuko vizur wachezaji wenye viwango vya 4G kutetea ubingwa wetu
Sadick
Hilo sio la kuuliza Mnyama Ubingwa lazima #meridianbettz
Hope mwaikuka
Simbaaaaaa
Emmy cleopa
Simba
Mwanaidi
Simba ndio habari yao bhna
Furahav
Kombe lazima simba wachukue.
Shafii
Kwa Simba uwezekano wa kubeba ni Jambo ambalo linaonekana dhahili
Neema hassan
Simba hawana uwezo wa kuchukua ubingwa kwa sasa..
Khadija
Kwa simba siongei kitu##meridianbettz
Salma
Aya wacha tuone
Rehema
Daa! Aya bwana simba
Dorophina
Ushindi lazima simba
David Pere
Sasa water Mara ngapi wakati wao Ndio wanaongoza ligi na hakuna mwenye uhakika wa kuwafikia waliopo nyuma yao
Theckla
Simba lazima wamchukue ubingwa
Amani
Akuna wa kutupinga Simba no one akuna Cha utopolo Wala nn#meridianbettz
Rehema Dickson
tunautizama mchezo wa kwanza lakini tunajua Ligi itakuwa ngumu kwani kila timu imejiandaa vizuri
felister
kila mtu Simba ushindi lazima ushindi lazima Kwan nyinyi ndo mnaocheza…?
Hidaya
This is simbaaa
Ernest
Safi sana Captain kwa kuwapa tija vijana wako
Mwajuma
Naona anawapa matumaini yakutosha wana simba
mwakalosi
simba bingwa sio anatetea tuelewane kwanza hapa
Evaluziga
Aya ngoja tuone uyo Simba Kama ajageuka kuwa nyati
warda
Na vile wapo kwenye ubora wao lazima Timu nyingi zitapigwa tu#Meridianbettz
Mariam mtandama
Tunasubiri tuone
isha
Simbaaaaaa jeshi langu sijui nisemeje
Povel
Wawapetu ubingwa wao hao thnks meridian bet tz kwa update
Theonestina
Simba lazima ashinde
Asia Abdy
Simba yetu
Agness
Simba ushindi lazima
Issa
Habari njema