Cakir Aingia kwenye Rada za Liverpool

Liverpool hawajajitoa kwenye mbio za kuwania saini mlinda lango wa kimataifa wa Uturuki, Ugurcan Cakir kulingana na ripoti nchini huko na inaaminika kuwa walipeleka skauti kumuangalua Kipa huyo namba moja wa klabu ya Trabzonspor.

Kulingana na Mwandishi Asist Analiz, Chelsea, Leicester City na Tottenham Hotspur wote wamehusishwa na kipa huyo mwenye umri wa miaka 24, ambaye alicheza katika kikosi cha timu ya taifa kwa mara ya kwanza mwaka jana na amecheza mara 37 msimu huu kwa Mabingwa hao watetezi wa taji la Super Lig.

Trabzonspor ni ya pili kwenye msimamo na michezo mitano imebaki, lakini wanaweza kurudi kuwa vinara ikiwa watashinda dhidi ya Galatasaray na vinara wa ligi, Istanbul Basaksehir watashindwa kuchukua alama zote tatu kwa Antalyaspor..

47 Komentara

    Good news

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Safii Sana Dogo yupo vizuri

    Jibu

    Hitakua vizuri Liverpool wakiinasa saini ya mlinda malango huyu kipa bola sana mwenye uwezo wake na maamuzi yake magumu. ama kweli Liverpool wamejipanga hipasavyo ligi msimu huu patachimbika

    Jibu

    Chelsea inahitaji golikipa mbadala wa Kepa anayeporomoka kiwango#meridianbettz

    Jibu

    Licha ya kuchukua ubingwa na kua na kikosi kipana ila kloop bado anataka kuongeza nguvu kwenye kikosi cha Liverpool katika kila sector

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri

    Jibu

    Asantee kwa taarifa

    Jibu

    Wamchukue tu mbona yuko poa uyu kijana

    Jibu

    Vizuri ! Huyo atakuwa mbadala Allison
    Yule Adrian hayuko vzr sana#meridianbettz

    Jibu

    Ahsante kwa makala nzuri#meridianbettz

    Jibu

    Yupo vizuri#meridianbett

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri na atakuwa badala Allison

    Jibu

    Cakir anahadhi ya kuwa mlinda mlango namba moja napata shida sana kama atachagua timu ambayo atakuwa mbadala wa kipa namba moja.

    Jibu

    Kijana yuko fiti wambebe tuu

    Jibu

    Itakuwa vyema sana ,maana Kocha wa liver pool atakuwa na kikosi cha maana ,kijana yupo vizuri

    Jibu

    Ni safi wakimchukua kuliko kumtegemea kipa mmoja

    Jibu

    Habari njema kwa Liverpool

    Jibu

    Cakir ni kipa mzuri popote atakapotua safii tu

    Jibu

    Gudnews

    Jibu

    Habari za kufurahsha hizi kwa sisi mashabiki wa Liverpool

    Jibu

    Kuna Becker ,Adrian ,,Karius, wanini sasa huyu

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Nyota yake inazd kuwaka kijan all the best

    Jibu

    Habari njema kwa Cakir.

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Dogo yupo vizuri

    Jibu

    Ni goli kipa mzr na bora pia ila akija vilabu vya epl atatengeneza jina lake zaid

    Jibu

    Ni kipa mzuri Sana kwa sasa

    Jibu

    Akipenda Liverpool atatulia Sana na atacheza mpira kwa umakini akijua yupo kwa mabingwa wa UEFA

    Jibu

    hawa wachezaji Klopp anajua sana kuwatumia liver iki win mpata wametusua

    Jibu

    Pamoja Na Ubigwa Bado Tena Wanataka kusajili#Meridianbettz

    Jibu

    Kikubwa maslah kama kunalipa aende tu

    Jibu

    Yy tu

    Jibu

    Cakir nigolikipa mzuri

    Jibu

    Cakir Yuko vizuri kunako mlango wa gol

    Jibu

    Cakir yuko vizur

    Jibu

    Yuko vzr cakir

    Jibu

    Hv good news 👍

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.