"Niliwatosa Chelsea na Man City." Virgil van Dijk

Beki bora wa dunia na klabu ya Liverpool Virgil van Dijk, ameliambia gazeti la michezo la mirror kwamba klabu ya Manchester city na Chelsea walitaka kumsajili.

Virgil Van Dijk amesema kabla ya kujiunga na Liverpool kutoka Southampton, kocha wa Manchester city pamoja na yule wa Chelsea walitaka kupata huduma yake.

Gazeti la mirror linataarifu, beki huyo wa kati wa timu ya taifa ya uholanzi alichagua kujiunga na Liverpool mwezi wa kwanza mwaka 2018 kwa ada ya usajili kiasi cha euro millioni 75 na kuwa beki mwenye gharama zaidi duniani.

 

"Niliwatosa Chelsea na Man City." Virgil van Dijk

 

Virgil van Dijk mwenye umri wa miaka 28, ametaja sababu za kuamua  kuzitosa klabu za Chelsea na Man city.

“Kitu cha muhimu zaidi unachoangalia ni kocha – Jurgen Klopp ni sababu ya muhimu kwanini nilichakua kujiunga na Liverpool.”

Virgil van Dijk amedhihirisha kuwa beki bora akiwa Liverpool ambako ameisaidia timu yake ya Livepook kushinda ligi ya mabingwa ulaya, lakini kubwa zaidi ni kombe la ligi kuu nchini Uingereza ambapo hawakulipata kwa takribani miaka 30 iliyopita.

 

49 Komentara

    Liverpool panakufaa

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Chelsea wasingeweza kumsajili huyu beki labda man Chester kidogo

    Jibu

    Safiii Sana panapo kuvutia mzee mzima

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    safi umefanya uamuzi sahihi liver panakufaa

    Jibu

    Kabla ya VVD kuja Liverpool ilikuwa inaruhusu magoli mengi sana na kwasasa VVD amedhibiti hilo inapata matokeo mazuri#meridianbettz

    Jibu

    Virgil van Dijk beki huyu anatamba sana kwa sababu ya kucheza timu ambayo umechukuwa ubigwa Liverpool tu baada yakutokwenda timu nyingine ambazo zilikuwa zinawania saini take ajue bado hizo timu zina uwezo wa juu kuliko Liverpool iliyochukua ubigwa akumbuke kuwa ubigwa huwa tunapokezana Liverpool walikaa miaka 30 tangu waache kupata ubigwa huu ni juhudi walizoonyesha zaidi katika michezo ndio wameona mafanikio yao .&&meridianbettz

    Jibu

    Asantee kwa taarifa

    Jibu

    Ni bonge la beki kwa sasa ulimwenguni kote kila timu kubwa inatoa macho kwake ila maamuzi yake ni kiutumikia Liverpool ndipo anaamini atakapo pata mafanikio makubwa.

    Jibu

    Cja ona bado beki kama huyu epl

    Jibu

    Livepool panamfaa#meridianbettz

    Jibu

    VVD Pale EPL ndo beki Bora kwa Sana pamoja na Maguire#meridianbettz

    Jibu

    Liverpool ndipo naamini atakapopata mafanikio makubwa

    Jibu

    Virgil Dan jik ni beki mzuri Sana na ameisaidia Liverpool kwa kiwango kikubwa Sana na pia bd hana nafasi katika timu yake na Liverpool ilikuwa bahati kumpata beki huyu ilhali aliwatosa man city na Chelsea

    Jibu

    Ahsant meridian kwa makala

    Jibu

    Ulikuwa uamuzi sahihi sana kwa Van Dijk kuchagua Liverpool

    Jibu

    Lover pool kabla ya kuja Virgil van Dijk ilikuwa inafungwa sana lakini alivyotuwa tu liverpool ikanyooka sana yaani kila shabiki akatamani kuishabikia liverpool na timu ambayo anaipenda

    Jibu

    Liverpool panakufaa

    Jibu

    Ni safi ulichagua sehemu sahihi pamekufanya uchukue mataji muhimu sana

    Jibu

    Maoni:Asante kwa taarifa

    Jibu

    Alikuwa sahihi kwenda Liverpool anamchango mkubwa kwenye timu

    Jibu

    Virgi van dijk ni beki mzuri sana pia alichukua beki bora duniani ila sio kivile maana kuna mabeki kitasa kuzidi yeye asijiune kuwa yeye ndio smart kushinda wengine zali alilokuwa nalo kwa kuwa timu ilichukua klabu bingwa ulaya na kuwatosa Chelsea na man city mapendekezo yake

    Jibu

    Uamuzi wake ni mzuri yuko sahihi

    Jibu

    hata ivyo ajakosea maana ata alipoenda Ni pazuri na kapata taji pia kupitia Liverpool kwaiyo Ni mchezaji mzur sana..

    Jibu

    Baki apoapo Liverpool kwingine kuna njaa tu

    Jibu

    VVD amekuwa mchango mkubwa sana wa amani ya kipa na utulivu wa team kiujumla tayar anetulipa kiasi tulichomnunua Soton na tunadaiwa ilikuwa ni pesa ndogo sana ….YNWA

    Jibu

    Yupo sahihi nauwamuzi wake

    Jibu

    Pesa iliongea ila ulifanya chaguo sahihi pia Liverpool panakufaa sana

    Jibu

    Gud information 👍👌

    Jibu

    Van dijk ni bek bora kwa sasa dunian amefanya makubwa ndan ya misimu miwili ana stahili sifa akiwa chini ya kocha wa kijeruman klopp

    Jibu

    Safi kijana kwa kulitambua hilo.

    Jibu

    Dau la Liverpool me ndo naon lililompendez

    Jibu

    Dau iloo

    Jibu

    Beki mzuri sana

    Jibu

    Liverpool ndopakukalia

    Jibu

    Beki yupo fit Sana natumai akitua Liverpool atazid kupamba.

    Jibu

    Alifanya maamuzi sahihi kwa kuichagua Liverpool , na hatinaye ametimiza ndoto yake ya kubeba kombe la UEFA

    Jibu

    dau lake hata hivyo lilikuwa kubwa ilikuwa kamari tu

    Jibu

    Liverpool wamepata bonge la beki.naimani watafika mbar

    Jibu

    Alijua ipo siku Liver watakuwa wakubwa#Meridianbettz

    Jibu

    Maoni:mimi naona abaki hapohapo liver

    Jibu

    Alifanya maamuzi sahihi

    Jibu

    Taarifa nzur

    Jibu

    Aliifanya uwamuzi sahihi liverpool panamfaa

    Jibu

    Liverpool panakufaa sana

    Jibu

    Beki hatar

    Jibu

    Liverpool iliyochukua ubigwa akumbuke kuwa ubigwa huwa tunapokezana Liverpool walikaa miaka 30 tangu waache kupata ubigwa huu ni juhudi walizoonyesha zaidi katika michezo ndio wameona mafanikio yao hivyo aache kujisfu kwasababu ya juhud sio uwezo wa bek Kwanza ushindi n wamezani tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.