London-Uingereza, klabu ya Chelsea wamepata pigo baada ya mchezaji wao tegemeo Ngolo Kante kupata majeraha katika mchezo wao wa jana.
Ngolo Kante alianza katika mchezo wa jana, Chelsea akipata ushindi wa magoli 3-0 lakini hakufanikiwa kumaliza baada ya kutolewa dakika ya 78 na nafasi yake kuchukulia na Billy Gilmour.
Majeraha ya Kante yanampa kocha Frank Lampard changamoto ya chaguzi kwenye nafasi hiyo kuelekea mchezo wao wa jumanne dhidi ya Crystal Palace.
Olivier Giroud, Willian na Ross Barkley wote wakifanikiwa kufunga katika mchezo wa jana na kuisaidia timu hiyo kurudi katika nafasi ya nne baada ya kushikwa kwa muda na Manchester United.
βNgolo Kante amepata maumivu katika nyama za paja (hamstring injury) tunatarajia ni majeraha madogo, hizo ndizo taarifa nilizonazo kwa sasa.” amesema Lampard.
Jorginho anatarajiwa kuchukua nafasi ya Ngolo Kante, hajafanikiwa kucheza mchezo wowote toka ligi kuu ya nchini Uingereza iliporejea. Billy Gilmour anaweza kuwa chaguo jingine baada ya kuingia akitokea benchi katika mchezo dhidi ya Watford.
Akipoulizwa kuhusu Jorginho, Lampard amesema kwa ufupi βJorginho yupo katika mipango yangu.β, kabla ya kutoa mawazo yake kuhusu Ngolo Kante.
Sadick
Ngolo Kante hana mbadala, ana vitu vya pekee yake uwanjani,mtibuaji wa mipango ya timu pinzani#meridianbettz
Franky
Habari mbaya sana kwa Chelsea
Khadija
Jamani habari mbaya kwa chelsea#meridianbettz
Hamidu
Daaa! Kante ni mchezaji muhimu Sana pale Chelsea.. soon utakuwa sawa mkata umeme#meridianbettz
Johnmary joel
Mashabiki tunamuombea hapone haraka#meridianbett
Rehema
Duuuh!
Fatuma kasomo
Duh asante kwa taarifa meridianbet
Shafii
Kweli hili ni pigo kwa Chelsea maana ngolo kwa Chelsea ni Kama moyo anapoumia Kama hivi Chelsea inakua na wakati mgumu kwenye sehemu ya kiungo istoshe ngolo kwa msimu Huu hakua na wakati mzuri,hali iliyo pelekea kuandamwa na majeraha ya Mara kwa Mara.
farida ahmadi
Get well soon ng’oro kante
Ester jackson
Pigo kubwa kwa Chelsea sana mana ni hatari kwa timu kwa ujumla haswa kwa wapizani wetu watapata mwanya wa kupita kirahisi wauguzi fanyeni matibabu ya ngolo kante arudi tena ulingoni mana hana wakuweza kuziba pengo lake
Revina
Hii ni habari mbaya kwa Chalsea ,Kocha Lampard ana wakati mgumu sana sababu Kante ana vitu vyake adimu ambavyo kuwa navyo mchezaji mwingine ni ngumu
Genia Sikaluzwe
Ni habari mbaya Sana kwa mashabiki wa Chelsea
Ernest
Kante hana bahati msimu huu amekaa benchi muda mrefu sasa tena majeraha
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole kante mungu atakufanyia uwepesi utapona uludi kwenye Hali yako ya upambanaji
Caroline
Pole Kante
isha
Pole sana kante unabahati mbaya sana
Issa
Chelsea imepata pigo hasa kwa kipindi hiki cha mpambano wa
felister
sad news very sad news
Sabrina
Maoni:Daaah pole sana Kante
Njiku
Kante ni kiungo mzuri sana pale Chelsea anakupa vitu vitatu3 kama assits,anakaba pia anafunga Dah huyu jamaa noma sana kuumia kwake ni pigo sana kwa wapenda soka na sio Chelsea kwanini na sema hivyo maana lampard alionyesha kutomuhitaji kiungo huyo nyota wa Ufaransa so kuumia kwa kante sio kama pigo kwa Chelsea maana waliwawake sokoni mastaa kibao kama williams,Pedro na konte leo kaumia unasema pigo
Dorophina
Pole yake kante
Angelina
Pigo kubwa kwa mashabiki wa chelsea
Edgar
Daah pole sana kante ni moja ya mapambano.
Magdalena
Habari mbaya Sana kwa Chelsea
Sylvester
Kante ni ngome kubwa Chelsea kuumia kwake kutafanya ipwaye katika mbio za Top 4 kwani Manchester Utd gari lishawaka na hawawezi kukubali kukosa Top 4
Frank Patrick
Bado wana watu hawa chelsea ni maamuzi ya coach tu akipange vipi kikosi chake formation gani aitumie kwa wakati gani bila ngolo ….chelsea watakuwa wapinzaninwapya next season
Devotha
Pole sana kante utapona haraka
Samiah
Hpr mbaya kwa chelsea
Povel
Get well soon ππΌππ
Furahav
Ila chelsea haitoweza kuyumba mana kuna wachezaji wengi pale chelsea.
Tatu
Get well soon kante
Omary lukumbi
Ngolo kante ni kiungo mkbaj hatar sana hilo ni zaid ya pigo Chelsea
Amiri Kayera
Pengo kwao ila cc man u tunafalah ili ahalib
Saupha mohamed
Daah pole yaooo
Theckla
Daa pengo kubwa Sana kwa Chelsea
Neema juma
Duu pole yao
Latifa juma mohamed
Ngolo kante mchezaji mahiri Sana,get well soon.
David Pere
Kante mzee wa majanga kila kukicha mwishowe atasitafu kubla ya wakati wake
Theonestina
Duuuh Mambo yamekuwa mabaya kwa Chelsea
mwakalosi
hapa lazima tuwe wachawi asipone haraka man u tufanye yetu
Evaluziga
Pole kante
warda
Mambo ya kuumia yanatia sana hasira #Meridianbettz
tumaini
Maoni:pole yake kante mambo yanakuwa magumu kwa Chelsea
Ester mmakasa
Jamani ni pigo kwa Chelsea kwa kuwa kante anafanya mambo makubwa akiwa uwanjani.
Salma
Habari mbaya kwa mashabiki wake
Hope mwaikuka
Ugua pole kante
Mwajuma
Pole sana kante
Flomena
Pole Kante na kwa club nzima
Asia Abdy
pole sana kante
Gabriel
Ngolo kantejamaa noma sana kuumia kwake ni pigo sana kwa wapenda soka na sio Chelsea kwanini na sema hivyo maana lampard alionyesha kutomuhitaji kiungo huyo nyota wa Ufaransa so kuumia kwa kant