Liverpool wanacheza mchezo wao wa kwanza wa nyumbani Anfield wakiwa MABINGWA wa Ligi. Kikosi cha Jurgen Klopp kilichezea kichapo kizito kwenye mchezo wake wa mwisho Alhamisi hii, kikipoteza 4-0 mbele ya Man City.

Klopp hakuwa mtu mwenye furaha baada ya filimbi ya mwisho na kuna kila sababu kwamba timu yake itatafuta kurejea kwa makali kwenye mechi hii dhidi ya wachovu Aston Villa ambao jahazi lao linazidi kuzama.
Villa, wako katika eneo hatarishi la kushuka daraja, wanahitaji walau pointi mbili kukaa katika eneo salama, ingawa ni ngumu sana kutarajia wapate matokeo mbele ya Liverpool, ambao wana rekodi ya USHINDI wa 100% wakiwa Anfield msimu huu.
Umekuwa msimu mgumu kwenye EPL kwa kikosi cha Dean Smith, ambao bado wanatafuta ushindi wao wa kwanza tangu ligi irejee, wamepata sare moja na kupoteza mechi 2. Kuna kila dalili za chama letu la Villa kushuka Championship pamoja na Norwich na Bournemouth, ili kubaki EPL wanahitaji matokeo mazuri kuanzia wikendi hii.

Hizi hapa rekodi za Mechi 5 zilizopita ambazo Liverpool amekutana na Aston Villa kwenye mashindano yote:
Villa 5-0 Liverpool
Villa 1-2 Liverpool
Liverpool 6-0 Villa
Liverpool 3-2 Villa
Villa 2-1 Liverpool


Franky
Viva Liverpool hata mmfungwe kumi bado mashabiki tuta baki nanyie tu …hasanteni#meridianbet kwa habar nzuri mmnazo tujuza
Rehema
Asante meridianbet kwa habari njema
Johnmary joel
Bado ubingwa ni wa liverpool#meridianbett
Fatuma kasomo
Liverpool wapo vizuri
Shafii
Aston villa wanawakati mgumu Sana kila mechi kwao inayokuja ni jiwe duh.
Hamidu
Aston villa Kila mechi fainal lasivyo watashuka daraja championship hiyo inawangojea#meridianbettz
farida ahmadi
Yaani hii mechi ya Leo ni kali Sana Aston vila wanna kibarua kigumu Sana Leo maa a wanakutana na mabingwa Liverpool lakin ngoja tuone kwnz
Revina
Liverpool leo wana hasira kali sana ,Aston villa wajipange
Caroline
Aston villa wanatia huruma
Ernest
Liverpool wataendeleza huruma kama ilivyokuwa kwa Mancity??!!!!
isha
Liverpool wako vizuri sana hata kama wafungwe
Issa
Villa wakaze sana ushindi ni muhimu sana
Itawasaidia katika kushuka daraja
Genia Sikaluzwe
Liverpool kwa sasa wako vizuri
felister
viva sama goal viva💪
Sadick
Namuona Samata ligi ya championship msimu ujao. Sioni nafasi kwa Aston Villa kushinda mechi hii lakini kwasasa Liverpool haina cha kupoteza#meridianbettz
Njiku
Rekodi inaonyesha astonvilla wanajitahidi wakikutana na liverpool lakini hii liverpool ya ubingwa ya moto aisee pia game hii liverpool anaumuhimu nayo maana kashakuwa bingwa balaa lipo kwa ndugu yetu mbwana sammata mtanzania anayekipiga hapo aston villa akitokea gent kama timu itashuka itakuwa vigumu sana kwa sammata kuangaliwa na watanzania maana watanzania wengi wanafatilia EPL,wanatakiwa wajitume sana ili kujikwamua kutoka kwenye kushuka daraja maana hawapo pabaya sana kwa kuwa waliokuwa chini karibia wote wanautofauti wa arama moja moja au magoli kama villa atashinda leo itakuwa poa sana maana atatoka chini na kupanda juu ya wale watatu watakao shuka
Dorophina
Bado liver anastahili ubingwa Mambo yasiwe mengi tu hapo
Angelina
Kwa recod hiyo villa anakazi ya ziada kumfunga liverpool
Edgar
kwa mechi hii sijui Kama Liverpool hatamuacha mtu salama maana Kama makala inavyo jieleza hapo kwamba Liverpool ametoka kuchezea kichapo na man cty hvi juzi.
kwaiyo hapo Aston Villa ningumusana kupata ushindi mbele ya Liverpool labda iwe tu mabadiliko ya mchezao..
Lydia Emmanuel Magoti
Liverpool wapo vizuri bado Wana stairi ubingwa
Sabrina
Maoni:Bingwa ni bingwa tu hata hivyo sio mechi muhimu sana kwa mabingwa liverpool kazi kwao Aston villa
Sylvester
Vila leo anampiga Liverpool 2 kwa sababu Liverpool hamna wanachokitafuta tena wakati Villa wanatakiwa kupigana kufa na kupona washinde ili wasalie Ligi kuu
Magdalena
Kila la kheri Villa kwa niaba ya kumshangilia mtanzania mwenzangu
Ester jackson
Hata kama akifugwa Liverpool bado ubigwa wake mana historian inaonyesha Aston villa wakikutana na Liverpool huwa wanajitahidi sana
Frank Patrick
Namuombea Villa kupata ushindi
Devotha
Kwa ajili ya Samata naiyombea ushindi Aston Villa
Povel
Don’t miss SAMATTA goal & SALAH mo
Omary lukumbi
Hii si.ya kukosa villa watakua na kibarua kikubwa kuzuia mashambuliz ya Liverpool
Amiri Kayera
Record zinaonyesh mmoj akimkuta mwenzie anambonda sasa naon kipond cha Aston villa
Janeflora malisa
Nice
Saupha mohamed
Taarifa mzuri
Theckla
Liverpool anashinda hii mechi Nampa ushindi moja kwa moja
Neema juma
Jamani Liverpool wanajua kunifurahisha
David Pere
Sijui mechi imemalizikaje maana ilikuwa unaoneka ngumu kila upande
mwakalosi
dah maskini samatta njia ya kwenda sky league nyeupe sana
Evaluziga
Aston villa wanatia huruma jamani
warda
Jamani Nimeikosa hii Mechi#Meridianbettz
Tatu
Liverpool wapo vizuri sana Aston villa wajipange wababe wawili wanakuta
Salma
Kazi ilikuwepo
Hope mwaikuka
Balaa
Mwajuma
Mabigwa wameendeleza ubigwa wao
Flomena
Leo ndio leo balaaa zitoo
Asia Abdy
Ilikua mechi nzuri
Gabriel
Liverpool wako vzur