Dirisha kubwa la usajili barani Ulaya linaendelea, miamba ya soka la Scotland – Celtic, wapo kwenye harakati za kumvuta Joe Hart.
Hart anaitumika Tottenham Hotspurs ambapo alijiunga na timu hiyo majira kama haya mwaka 2020. Japokuwa, uwepo wa Hart kwenye kikosi cha Spurs, haujazaa matunda mema kwani hajaitumikia klabu hiyo kwenye mchezo wowote wa EPL.
Celtic wapomazungumzoni na golikipa huyo ambapo inaripotiwa kuwa, klabu hiyo inataka kumsajili mchezaji huyo ikiwa ni usajili ambao utampatia Harts nafasi nyingine ya kuonesha uwezo wake safari hii akiwa nje ya EPL.
SHOOT! mchezo unaokupa nafasi ya kupambania ushindi wako mkubwa kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet! Usisubiri hii, jiunge sasa kufurahia ushindi!



Sania+mapua
Joe atawafaa Celtic wapambane wamchukue
Angelina
Habari njema