Chelsea Wamalizana na Neto
Makala iliyopita
Osimhen Ajitenga Kwenye Kikosi cha Napoli
Makala ijayo
West Ham Kila kitu Sawa kwa Todibo
Chelsea wamekua wakifanya usajili mara kwa mara lakini wachezaji wengi ambao wamewasajili sio wenye uzoefu mkubwa wengi wao ni vijana wadogo, Lakini kwa Pedro Neto ni tofauti kwakua ni mchezaji ambaye amekua na uzoefu wa kucheza ligi kuu ya Uingereza kwa zaidi ya msimu mmoja.