Chelsea Wanamuhitaji Harry Maguire

Harry Maguire amekuwa akipambana na Manchester United hivi karibuni, na shaka juu ya nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza cha Erik ten Hag, imeripotiwa kuwa imesababisha Chelsea kufanya jitihada za kuinasa saini ya beki huyo.

The Blues tayari wapo kwenye mazungumzo na United, kuhusu uwezekano wa kuondoka kwa Christian Pulisic, na wameuliza kuhusu Maguire katika mpango wa kubadilishana. Tuchel anatamani sana kuimarisha safu ya ulinzi na, ingawa Wesley Fofana ndiye anayepewa kipaumbele Zaidi.

 

Gazeti la The Mirror limeandika kuwa “Thomas Tuchel anatafuta beki mpya na anafahamu kuwa Manchester United wanamtaka Christian Pulisic. Hilo limefungua uwezekano wa Chelsea kumtoa fowadi huyo wa Marekani kwa kubadilishana na beki huyo wa kati wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 28.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.