Cristiano Ronaldo Airudisha Juve Kileleni.

Roma, Italy-Mshambuliaji wa juventus Cristiano Ronaldo ameifungia timu yake ya Juventus goli bora katika umbali mrefu na kuitanguliza timu yake kwa jumla ya mabao 2 dakika ya 56, goli hilo lililofungwa kwa ufundi takriban yadi 22.

Mechi hiyo ilianza kwa kipindi cha kwanza kutokuwa na goli lolote, kipindi cha pili juve walishambulia kwa kasi na kuandika goli la kwanza kupitia kwa mshambuliaji Paulo Dyabala aliewapita mabeki watatu na kunyoosha shuti lililomshinda mlinda mlango wa Genoa, Mattia Perin, katika dakika ya 50 ya mchezo.

Goli la tatu liliwekwa wavuni na Douglas costa katika dakika ya 73 akitokea benc

hi kuchukua nafasi ya Bernadeshi,bao la kufutia machozi la genoa lilifungwa na Andrea Pinamonti dakika ya 76.

Cristiano ronaldo aliekua mchezaji bora katika mchezo huo walioshinda mabao 3-1, aliisaidia juventus kuongoza ligi kuu ya nchini italia kwa alama 72, alama nne zaidi ya Lazio anaeshika nafasi ya pili kwa alama 68, na alama kumi na moja kwa Inter milan anaeshika nafasi ya tatu katika msimamo akiwa na alama 61. Ikumbukwe Juventus ameshinda mechi zake zote tatu tangu alipotolewa katika kombe la Kopa Italia na Ac milan mwezi uliopita.

44 Komentara

    Cr7 munyama ..Ni mchezaji anae onyesha ubora kwenye timu yake mpaka kuisaidia……..

    Jibu

    CR7 fundiii

    Jibu

    Mh!!meridian kwa makala mpo vzr#meridianbettz

    Jibu

    CR7 is living legendary#meridianbettz

    Jibu

    CR7 Ni kiboko ya magoli hakipata fursa anaitumia vizuri

    Jibu

    Ni kweli kabisa Ronaldo ameisaidia sana juve kupanda daraja kwa magoli yake anayofunga na yanakuwa na kiwango

    Jibu

    Yupo poa sana cr7 kila anapo enda lazima afanye maajabu

    Jibu

    Safi! Cr7 mnyama#meridianbettz

    Jibu

    Pongezi kwa juventus kuonyesha uwezo wao mana mashabiki walikata tamaa wakasahau kuwa yuko kijana matata asiye kubali kushindwa Christian Rinaldo na kuweza kuwawekea alama zuri Jana walishirikiana kwa pamoja na kupata mafanikio ya magoli matatu iko powa sana

    Jibu

    Mnyama cr7

    Jibu

    The professional player 👍

    Jibu

    Ronaldo best footballer ever

    Jibu

    Cr7 kipaji kipo

    Jibu

    Cr7 wako vizuri sana

    Jibu

    Yuko vizuri kijana

    Jibu

    Cr7 habari yao

    Jibu

    Ronaldo ni moja wachezaj walioleta chachu ya ushndn katika mchezo wa jana

    Jibu

    Christian sio mtu wa mchezo mchezo

    Jibu

    Maoni:Cr7 fundi

    Jibu

    Maoni:Ronaldo ndio jeshii pale juve mchezaji mwenyekujitolea

    Jibu

    Ronaldo haachagi fursa kama hizo na hasa akiwa ktk timu yake

    Jibu

    Kwa upanda wng naenda kumuita the professional player CR 7 alizaliwa kwenye kisiwa cha Madeira, Ureno, 5 Februari 1985) ni mchezaji soka wa Ureno. Nafasi yake ni ushambuliaji; kwa sasa anacheza nchini Italia katika klabu ya Juventus na timu yake ya taifa.
    Mara nyingi huchukuliwa kuwa mchezaji bora duniani na kuonekana kuwa mmojawapo kati ya wachezaji wazuri wa nyakati zote. Ronaldo ana tuzo tano za FIFA Ballon d’Or, ambayo ni zaidi ya mchezaji yeyote wa bara Ulaya, na ni mchezaji wa kwanza katika historia kushinda mara nne viatu vya dhahabu.
    Ameshinda tuzo 27 katika kazi yake, ikiwa ni pamoja na mataji matano ya ligi kuu, vikombe vya UEFA Champions League na moja ya UEFA nations league.
    Ronaldo atastaafu na kumbukumbu za mabao mengi rasmi yaliyofungwa katika ligi za juu za Ulaya, Ligi ya Mabingwa ya UEFA kwa ngazi ya klabu na ya mataifa , pamoja na magoli mengi yaliyofungwa katika michuano ya UEFA Msimu wa Ligi. Amefunga mabao zaidi ya 600 katika klabu yake na nchi yake.
    Hivyo basi kitendo kuirudisha juve natambua uwezo wake yuko vzur sana

    Jibu

    Ikumbukwe Juventus ameshinda mechi zake zote tatu tangu alipotolewa katika kombe la Kopa Italia na Ac milan mwezi uliopita.#meridianbet

    Jibu

    Hongera Sana cr 7 upo vzr haujawah kutuangusha mashabiki wako great work

    Jibu

    Cr7 jeshi

    Jibu

    Safi yupo vizuri

    Jibu

    Iyo ndo moja ya faida kua na mchezaj mkubwa

    Jibu

    Cr 7 hakuna anaempinga kwamba yeye ni tegemezi La kila timu aendayo na mpambanaji Sana big up cr 7

    Jibu

    Kwa CR7 Nilitalajia hivyo#Meridianbettz

    Jibu

    CR7 hajawahi kuiangusha timu anayoichezea hata siku moja ni jembe na atabaki kuwa hivo big up kwake tunatarajia makubwa zaidi ya haya mashabiki wa juve

    Jibu

    Safi sana kijana mpambanaji yaani uko vizuri .

    Jibu

    Mnyama Cr7

    Jibu

    Huyu jamaa Nina anatisha Ndio maana hata kocha mwenyewe anaweweseka wakati anapokosa kimpanga CR7

    Jibu

    Jeshi la mtu mmoja no mchezaj ambaye anaweza kukufanya usibanduke kwenye TV yako anafanya vizuri sana na ni mtu wa kujiongeza

    Jibu

    Cristiano Ronaldo mpambanaji

    Jibu

    The nice player cr7 in da world,he more famous than other player, kijana anatisha Sana awepo uwanjan ,tunarajia mema na mazur kutoka kwake kulingan na kipaji chake Cha uzlchezaji.

    Jibu

    Cristiano ronaldo yupo vizuri sana

    Jibu

    Cr7 jesh yuko vzur popote anang’aaa

    Jibu

    CR7 anarudi kwenye kiwango chake.

    Jibu

    Cr7 jeshi la mtu 1

    Jibu

    Cr 7 yupo vizuri

    Jibu

    Cr7 anajua mpira

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.