Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Mohammed Dewji amewahakikishia mashabiki kuwa hakuna mchezaji yoyote atakayeuzwa kwenye dirisha la Usajili lijalo.
Miamba ya Ligi Kuu Tanzania Bara wana maazimio ya kutengeneza kikosi imara kuelekea msimu ujao wa Caf Champions League wakiwa na uhakika wa kuwakilisha nchi katika michuano hiyo kwa mara ya tatu mfululizo.

Dewji amethibitisha kwa taarifa aliyoweka kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii kwamba klabu haitaruhusu mchezaji yoyote kuondoka kwenye kikosi cha sasa na watamsajili mchezaji yoyote atakayehitajika na kocha.
“Wanasimba wenzangu nataka niwahakikishie hakuna mchezaji wetu yoyote atakayeondoka Simba, lakini pia tutasajili mchezaji yoyote, kutoka popote kama kocha wetu atamuhitaji kwenye kikosi chake.”

Hivi karibuni, Simba imehusishwa kutaka huduma ya wachezaji wawili wa Gor Mahia beki Joash Onyango na kiungo Kenneth Muguna.


Salma
Ahaa jeuli ya pesa
Tahiya
Baba kasema tutasajir mchezaji yeyote kutoka popote wanasimba tupewe nini tena ni muda tyuu wa wachezaji wetu kutupa burudani
Devotha
Pesa ndo kila kitu
Ester mmakasa
Mwenye pesa sio rafiki yako ,Simba wanatakiwa wakaze buti sio kwa kupendelewa uko.
Adelta
Pesa ndiyo kila kitu ktk maisha
felister
habari njema kwa mashabiki wq simba
Rehema Dickson
Sana tu jeuri ya pesa iyo ana uwezo wa kufanya chochote kile kwenye timu ya simba apana chezea mo baba lao
Theckla
Wakaze buti wasibweteke
Antony Luseno
Tajiri yupo vizuri mfukoni maana adi mchezaji anauzwa uwa kuna mauzauza klabuni asa katika mishahara
Hope mwaikuka
Kwa raha zao
Mwanaidi
Pesa inangea bana kocha kazi kwako mchezaji yoyote kutoka sehemu yoyote Simba ipo juu na uongozi wake pia upo vizuri ndio mana matokeo yao yanakuwaga mazuri uwanjani sababu wanapewa nguvu
Neema hassan
Habari nzuri kwa mashabiki wa simba..
isha
Kweli pesa ndio kila kitu
Evaluziga
Pesa inawapa jeuri
Samiah
Pesa ndio mpango mzima
Ester jackson
Pesa iongee na kazi itendeke tusubiri ligi iaze hasaivi ni yakirafiki kupasha misuli
David Pere
Tikae tukijua kuwa siku zote Kuna matajiri ni vichaa wa mpira Sasa no Kama huyu mo dewiji lazima Simba iwe najeulu sanaa mwaka huu
Ernest
Hili ni jambo zuri sana, naona wameamua kutumia kikosi walichonacho sababu kinakidhi vigezo ata kwenye ngazi ya mashindano ya kimataifa
Neema juma
Pesa ndo inamfanya ajiamini bhana.
JULIANA
This is Simba, Simba kawaida yake kuwa na jeuri
winfrida
iyo kweli inaitwa jeuri ya pesa ila simba ikifungwa kidogo una panic
Amani
Watu wa young inawauma wenyewe akuna kutoa mapovu
Furahav
Hii habari inmenifurahisha sana.
lombo
baada ya dhiki n faraja moo ni mda wake sas huu wa kutamba cz simba iko vizur kila kona kwenye ligi ipo juu mech za kirafiki ipo vizur..
Povel
Habar njema kwa mashabik na wapenz wa msimbazi
mathayo sonje
hii ndio maana ya MPIRA PESA, amewaambia hakuna atakaye ondoka ili waimarishe kikosi, maana kuingiza vitu vipya kila siku uzoefu unakua mgumu. safi sana MO., na Meridianbet kwa taarifa
Magdalena
Ndo raha ya kuwa mpenzi wa timu ata kufanya kitu unafanya kwa moyo mmoja ndo maana anawapa jeuri
Mwanahamisi
Pesa ndio mpango mzima
Lydia Emmanuel Magoti
Safii tuu lazima hatambe niaki yake kwachamalake Simba spot krab
Kenani
Pesa inaongea bhana
Caroline
Ha ha aya bwana.
Theonestina
Timu yetu iko vizur Sana.hatuwezi kuuza wachezaji wetu bhanaa
Mwajuma
Huyu ni tajiri mwenye machungu na soka
Dorophina
Pesa ndo mpango mzima lkn Ni habari njema kwa mashabiki wa simba
Hidaya
Mwenye pesa ndio anaheshimika
Shafii
Habari njema kwa wanasimba
Emmy cleopa
Pesa ndo Kila kitu katika maisha.
mwakalosi
huyu hana lolote
Latifa juma mohamed
Kibur mwezie pesa,anajiamin Sana mo.
Rehema
Ni jambo zuri kwa Wanasimba
Elika
Pesa sabuni ya roho..ukiwa nayo unauwezo wa kufanya chochote
Hamidu
Simba babalao! Asante mo dewji
Latifa juma mohamed
Kiburi mwezie pesa,mo anajiamini yupo vzr na wanamsimbazi
Samira
Sie mashabiki wa simba tumefurahi sana
Zeiyana
Gud newz
Sadick
Mnyama atatisha sana#meridianbettz
warda
Moo Kama Moo#Merianbettz
Asia Abdy
Nakukubal mzee baba
isha
Dewji mtu mbaya