Imeripotiwa kuwa Klabu ya Juventus ina mpango wa kumpatia mkataba mpya wa miaka mitano staa wake, Paulo Dybala.
Mkataba wa awali ya Dybala ndani ya Juventus unatarajiwa kumalizika Juni 2022 baada ya kuusaini mwaka 2017.
Juventus wanataka kumuongeza straika huyo mkataba kutokana na ubora ndani ya timu hiyo na amekuwa kati ya wachezaji tegemeo.
Dybala ambaye msimu uliopita aliibuka kuwa mchezaji bora ndani ya Serie A, pia aliisaidia timu hiyo kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu na kuifikisha timu yake hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Ripoti zinaeleza kuwa, Mkurugenzi wa Ufundi wa Juventus, Fabio Paratici yupo kwenye mazungumzo na wakala wa Dybala Jorge Antun kwa ajili ya mkataba mpya.
Uongozi wa klabu hiyo una mpango wa kumpatia mkataba wa miaka mitano kwa maana hiyo Dybala atakuwa ni mchezaji wa pili kulipwa vizuri ndani ya kikosi hicho baada ya Cristiano Ronaldo.
Mshambuliaji huyo atakuwa analipwa kiasi cha euro 7m kwa msimu na euro 10m kama bonasi ndani ya kikosi hicho.
Juventus inataka kukamilisha dili hilo baada ya Klabu za Man United, PSG na Real Madrid kuonekana kusaka saini ya mchezaji huyo.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Adelta
Good news@meridianbettz
Johnmary joel
Habari nzuri kwa dyabala endelea kupambana timu izid kusonga mbele#meridianbett
Sadick
Dyabala jembe. Juventus wamekumba maneno ya wahenga kwamba ‘save the best to the last’
Dorophina
Dybala amelamba bonge la dili ni muda wa kazi sasa kijana kapige kazi
felister
itakua bonge moja la dili kwa dyabala kama likikamilika
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa bonge ladili kwa Dybala Kama usajili wake utakamilika
sylvester
Ni sahihi kwa Dyabala kusalia Juventus kwani bado Juve wanakikosi kipana chenye ushindani
Mwanahamisi
Gud news
Mwajumah
Dyabala amelamba bonge la dili mda wake sasa#Meridianbettz
Sauda
Pongezi kwake, amelamba dili la maana
Caroline
Hongera Dyabala
Janeflora malisa
Good
warda
Dybala Sio Mchezaji wa kumwachia#Meridianbettz
Ernest
Kama namuona vile Suarez mabao atakuwa na kibarua chepesi sana ndani ya Juve kuhakikisha anatikisa nyavu za wapinzani tuu, Nadhani Balaa la Suarez linaanza upya kwenye ulimwengu wa soka
Rose kapinga
Dybala anajua sana,lazima apewe nafasi nyingine!!
rama
kiwango chake bado kipo vizuri sana dybala
mwakalosi
Pirlo angemuachia huyu tu
Issa
Pirlo ni makini sana kumpa muda zaid dyabala ameonyesha kumuamini sna
Sabrina
Dyabala anajua
Theckla
Habari njema
JULIANA WILBARD ALEX
Safi
Tatu
Dyabala ni mchezaji mzuri na mwenye kujituma
Furahav
Hongera kwake.
Khadija
daybaya yupo vzr sana#meridianbettz
Nasra
Hongera kwake
Shani
Hongera kwa dyabla kuongeza mkataba juve
Devotha
Safi
Gabriel
Dyabala jembe
Theonestina
Good
Saupha mohamed
Hongera yake
Samira
Juve wako sahihi kuendelea kumbakiza kwani ni mchezaji mzuri sana
Shafii
Hii ni habari njema kwa wana juve.
Samiah
HAbari njema kwa Juve
Amiri Kayera
Kiwango chake anastaili kuendelea kuwepo
Magdalena
Bonge LA Dili kwake
aisha
Hongera sana dybala kwa kupata dili hilo