Mshambuliaji wa Liverpool, Harvey Elliott amesaini mkataba wa miaka mitatu na mabingwa wa hao Premier League.
Ni mkataba wa kwanza kwa Elliott kama mchezaji wakulipwa, ambao alikuwa haki kusaini alipofikia miaka 17, 4 Aprili.

Winga huyo wa Uingereza Under-17 alijiunga na Liverpool kutoka Fulham majira yaliyopita kwa kiangazi na amecheza mechi nane katika timu ya wakubwa.
“Harvey ni mechezaji mwenye kipaji. Wote tunajua uwezo wake – tumeuona msimu huu akiwa na timu ya kwanza na U23,” alisema kocha wa Reds Jurgen Klopp.

Elliott amekuwa mchezaji wapili mwenye umri mdogo alipoanza kwenye mechi ya Kombe la Carabao dhidi ya MK Dons Septemba.
Amecheza mechi mbili za Premier League, na zote ametokea sub.
“Tangu siku ya kwanza nilipoingia, imekuwa safari yenye furaha,” alisema Elliott.
“Na kubwa zaidi kupewa mkataba wangu wa kwanza kama mchezaji wakulipwa ni ndoto iliyokuwa kweli kwangu na familia yangu.”


Mwajuma
Habari njema kwa mashabiki wa liverpool
Frank Patrick
Lets start hunt the Trophy Ellie….YNWA
Flomena
Harvey ni mechezaji mwenye kipaji. Wote tunajua uwezo wake
Hilda
Vizur
David Pere
Dogo ashakuwa Ndio maana amepewa mkataba wa mchezaji wa kulipwa
Amani
alijiunga na Liverpool kutoka Fulham majira yaliyopita kwa kiangazi na amecheza mechi nane katika timu ya wakubwa
Harvey ni mechezaji mwenye kipaji.ni Jambo zuri kupatiwa mkataba # meridianbettz
tumaini
Maoni:vizuri
Fatuma kasomo
Habari nzuri kwa wapenzi wa Liverpool
Leonard
Jambo zuri kwa club
Ester jackson
Good news
Zeiyana
Elliott ni mchezaji hanaye jituma sana hufanyaji wake wa kazi ndio humemfanya hadi Liverpool kuona humuhimu wake kwenye clabu yao ngera sana
warda
Watu na bahati zao#Meridianbettz
isha
Elliott hongera sana kwa kupata nafasi liverpool tim inayojituma
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii habari nzuri Sana
Magdalena
Hongera sana kwake na habari njema Sana kwa sisi mashabiki
Dorophina
Ni vizuri Liverpool wanaongeza vitu vizuri habari njema kwa mashabiki
Tatu
Habari mnzuri kwa mashabiki wa Liverpool
felister
pongezi ziende kwake
Angelina
Uamuzi mzuri
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana kwa wapenzi wa soka
Shafii
Ni jambo La kufurahisha kwa wana Liverpool kuona bado kloop anakiu ya kutanua kikosi cha mabingwa hao wapya wa EPL.
Tahiya
Ni habari njema sana izo kwa mabingwa hao na mashabiki kwa ujumla
Isaya massawe
Pongezi kwake ni hatua nzuri kwa upande wake kupewa mkataba inamaanisha wanamwamini na wamekubali kiwango chake
Samiah
Nuhabari njema kwa mashabiki
Omary lukumbi
Pongezi kwake kuongeza mkataba
Nasra
Pongezi sana kwake
Salma
Good
Franky
Safii karibu Liverpool kijana
farida ahmadi
Karibu Liverpool herriot habari nzuri Sana kwetu mashabiki
Hope mwaikuka
Good to hear this
Theckla
Habari njema
Ernest
Imekuwa safari nzuri ya mafanikio kwake, Kila la kheri Elliott
Issa
Eliot ni jembe safi
Amiri Kayera
Safi kloop kwakuendeleza kipaji hiki
Mariam mtandama
Vizur
Edgar
habari njema sana Asante kwa makala
Njiku
Habari nzuri sana kwa mashabiki wa liverpool
Janeflora malisa
Good
Gabriel
Habar njema sana 👍
Sabrina
Maoni:Daah hongera zake
Povel
Habar njema
Furahav
Yuko vizuri.
Theonestina
Hongera yake
Latifa juma mohamed
Nice one to him
Rehema
Hongera take
Caroline
Hongera Elliot
Asia Abdy
Good news
Mwanahamisi
Pongezi sana kwake
Khadija
Habari njema kwake#meridianbettz
devotha
hongera yake
Samira
Hongera sana Elliott