Bingwa wa soka, mchezaji wa zamani na meneja wa Guangzhou Evergrande, Fabio Cannavaro anasema, yeye na wenzie walimlilia Cannavaro alipokuwa alipowaaga kuondoka. Cannavaro alijifunza kwa Anziloti akiwa Parma mwaka 1996-1998.
Bingwa huyu anakumbuka vitu vingi alivyojifunza kutoka kwa Anzelotti, anakumbuka miondoko mbalimbali ya gemu aliyojifunza. Anadai ilikuwa wakati mgumu sana kwao kumuaga mkali huyo alipokuwa anaenda kujiunga na Ac Millan, wachezaji wote walikua wakilia.
“..alifika Parma nikiwa bado mdogo sana, mwanzo aliamini ningeweza kucheza vizuri kama beki wa kushoto, alikuwa na makosa machache sana kama kocha, lakini baadae alikuja kujua kuwa mimi na lian Thuram tunacheza vizuri tukiwa katikati” -maneno ya Cannavaro. anaamini Chelsea ya Maurizio Sarri itaoeta sana katika Ligi ya Primier kwa sababu ya alitengenezwa vyema na na Anzilotti.


Povel
Cannavaro yupo juuu
Furahav
Noma sana.