Conte: Shakhtar ni Wapinzani Wagumu

Kocha wa Inter MillanAntonio Conte amesema anawaona Shakhtar Donetsk kama ndio timu ya kwanza itakayokuwa ngumu kwa vijana wake kwenye Ligi ya Europa.

Baada ya nusu fainali ya kwanza kati ya Sevilla na Manchester United, kwa Sevilla kuibuka kidedea na kufuzu hatua ya fainali. Ungwe ya pili ya hatua hiyo itawakutanisha Inter Millan dhidi ya Shakhtar Donetsk na mbabe atakwenda kuchuana na Sevilla katika fainali ya Ligi ya Europa.

conte
Kocha wa Inter Millan – Antonio Conte

Akizungumza kabla ya mchezo huo. Antonio [Conte] amesema ” tunawaheshimu sana Shakhtar, wametumia miaka mingi kufikia kiwango walichonacho. Ni wapidhani imara ambao tutakutana nao toka michuano hii imeanza msimu huu. Tunataka kuonesha kuna sababu iliyotufikisha kwenye hatua hii ya nusu fainali.”

Ashley Young nae amenukuliwa akisema “Fikra zetu zipo kwa Shakhtar Donetsk, ndio mchezo wetu unaofuata na ndipo akili zetu zilipo kwa sasa.”

conte
Kocha wa Shakhtar Donetsk – Luis Castro

Akiuzungumzia mchezo huo, kocha wa Shakhtar Donetsk – Luis Castro amenukuliwa akisema, ” Ninautulivu wa hali ya juu kuhusu mchezo huu. Ninafahamu tunakwenda kupambana na timu imara na wala haishangazi, tumejiandaa kwa hili.

“Utakuwa ni mchezo mgumu lakini hata Inter Millan wanajua wanakwenda kukutana na upinzani imara. Utulivu ni uhalisia wetu, tumejiandaa vyema.”

conte

Inter Millan na Shaktar Donetsk mara ya mwisho walikutana mwaka 2005-06 katika hatua ya kufuzu kwenye Michuano ya Ulaya-UEFA ambapo Inter alishinda kwa magoli 3-1.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

39 Komentara

    Achosema Conte ni kweli Shakhatar sio mchezo kabisa#Meridianbettz

    Jibu

    Inter wanakikosi bora sana lakini ni vizuri wakachukua taadhari dhidi ya Shakhatar

    Jibu

    shakhtar donetsk ni timu nzuri iliyojaa Wabrazil wengi na inacheza soka la kuvutia#meridianbettz

    Jibu

    Ni ukweli shaktar wapo vzr kupambana na timu imara na wala haishangazi,nadhani inter wamejiandaa kwa hili.

    Jibu

    Shakhtar wako vizuri kimpira inawachezaji wanaojituma sio timu ya kuidharau hili conte kaliona ndio maana kasema hivyoo

    Jibu

    Inte wanaenda kukutana na upizani mkubwa Ila wako imara uwanjani@meridianbettz

    Jibu

    Ni kweli kabisa anachosema luis Castro ila shakhtar Donetsk wako vzr

    Jibu

    Makocha wako sana ila kwangu Mimi nasema kuwa tunajua kuwa timu zinazokutani huwa zinauwezo sana ukizingatia wachezaji wao wengi sana no vijana mana hasaivi tunaweza kusema kwa sababu Shakhtar yuko vizuri zaidi basi inter Milan watapoteza hapana wote wako vizuri tusubiti kuona nani atakuwa mbabe hapo atakae kutana na Seville.

    Jibu

    Conte mbona kama ujiamini HV unawavunja moyo wachezaji wako lolote linaweza kutokea uwanjani kikubwa ni kukaza hapo uwanjani

    Jibu

    Inter wanatakiwa wajifue kweli kweli maana wanaenda kukutana kikosi cha kazi

    Jibu

    Inter Wana kikosi kizuri Ila inabidi waistukie game wakutamaki Wana kuwa Kama wanaigopa mchezo huo Ila wawe wanajiamini wapambane vyovyote vile mpaka paeleweke

    Jibu

    inter pamoja na kuwa na kikosi kizuri wanabidi wawe makini maana lolote laweza tokea

    Jibu

    Shakhtar donesty ni timu nzuri sana

    Jibu

    Anachosema Conte ni kweli shakhatar sio mchezo yan #Meridianbettz

    Jibu

    Wanaenda kukutan na timu kubwa kikubwa kukaza buti na kujiamin uwanjani2

    Jibu

    ni kweli shakhtar donesty ni timu nzuri lakini Conte hutakiwi kukata tamaa mapema ivyo

    Jibu

    Mechi itakua ya aina yake hapatoshi.

    Jibu

    Makala iliyojitosheleza maelezo

    Jibu

    wako vzr

    Jibu

    Inter ijipange kuitoa shaktar hii ni timu ya ushindani sana kwenye hatua kama hizi

    Jibu

    Mjiandae mana shaktar ni noma sana.

    Jibu

    Wako vizuri

    Jibu

    Ata mm namuunga mkono maana shakhtar wako vzur wakijiamin wanaweza wakapoteza mchezo inter wanatakiwa kuwa makin

    Jibu

    Yuko sahihi kabisah

    Jibu

    Nikweli tim nzuri lakini conte hawatakiwi kukata tamaa

    Jibu

    Yuko sahihi kabisa

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Conte hizo ni mbinu za kuwapoteza maboya wapinzani wako.

    Jibu

    Conte hzo dalili za uoga mpr dk 90

    Jibu

    Nawakubal sana

    Jibu

    Inter wajipange vizuri

    Jibu

    Kwakweli wajipange vizuri sharktan siyo timu ya mchezomchezo#meridianbett

    Jibu

    Inter wako vzuri ila sijui wanakwama wapi

    Jibu

    Utakuwa ni mchezo mgumu lakini hata Inter Millan wanajua wanakwenda kukutana na upinzani imara. Utulivu ni uhalisia wetu, tumejiandaa vyema.”

    Jibu

    Ondoa of intonio conte so kila kitu kinaitaji maamuzi ukiamua unaweza inter Milan wapo vizuri sana tunategemea ushindi zidi ya mpinzani wake

    Jibu

    Shaktar wapo vizuri

    Jibu

    Wapo vizuri

    Jibu

    Wako vzr

    Jibu

    shakhtar donetsk ni timu nzuri iliyojaa Wabrazil wengi na inacheza soka la kuvutia#

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.