Maguire: Kuishia Nusu Fainali 'HAIKUBALIKI'

Baada ya kutolewa katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Europa. Nahodha wa Manchester UnitedHarry Maguire hakubaliani na uwezo wa timu yake.

Man United walipata goli la kuongoza kupitia mkwaju wa penati uliopigwa na Bruno Fernandez kabla ya Sevilla kusawazisha na kuongeza goli la pili. Goli kipa wa Sevilla – Bounou , anakila sababu ya kupewa pongezi kwa kuzuia nafasi kadhaa za magoli na kuwatoa kabisa Man United katika michuano hiyo.

maguire

Akizungumza na BT Sports baada ya mchezo huo, Maguire amenukuliwa akisema ” kufungwa hakukubaliki. Kuishia hatua ya nusu fainali hakukubaliki. Kushinda mataji kunakaribia, tunahitaji kushinda mataji.

“Timu bora imefungwa, wametuhukumu kwa nafasi tulizokosa. Tumefungwa kwa kona mbili kitu ambacho sio sahihi. Tulicheza vizuri na kustahili ushindi, tumeishia hatua ya nusu fainali kwa mara ya tatu msimu huu. Pengine ukosefu wetu wa uzoefu umetugharimu, tusingefungwa zile kona mbili.”

 

maguire
Kocha wa Machester United – Ole Gunnar Solskjaer

Kocha wa Manchester UnitedOle Gunnar Solskjaer amenukuliwa akisema ” Inahuzunisha, ni ngumu kukubali. Tumecheza vizuri na kutengeneza nafasi lakini hatukupata matokeo tuliyoyahitaji.

“Tunahitaji kuboresha kikosi chetu, siwezi kusema lini au kama tutasajili lakini tunaliangalia hilo. Tunapaswa kuwa na uhakika wa 100% katika kutekeleza hilo.”

maguire
Wachezaji wa Manchester United baada ya mchezo dhidi ya Sevilla

Kwa kupoteza nafasi ya kucheza Fainali ya Europa msimu huu. Sasa ni rasmi Manchester United wanamaliza msimu wakiwa wamecheza nusu fainali tatu bila ushindi. Katika Ligi Kuu Uingereza – EPL, Man United wamemaliza katika nafasi ya 3, pointi 33 nyumba ya vinara Liverpool.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

42 Komentara

    Asante Kwa kutujuza #meridianbet

    Jibu

    Wazee wa penalty sasa wanaaza kulalamika kubalini tu kuwa mmetolewa mana kama kufunga mngefunga sana kipindi cha pili mlikuwa mnapata nafasi sana Ila haikuwa bahati yenu .waacheni Seville nao wakafike nusu fainali bahna .ha ha haaa .

    Jibu

    Hizo ni kauli za kishujaa man sasa wameshashuka kiwango chao cha uchezaji

    Jibu

    Maguire kavurugwa na kipigo kona moja tuu jana

    Jibu

    Washambuliaji wanasitahili lawama ktk hili kwa kutotumia ipasavyo nafasi walizopata na walinzi kushindwa kulinda lango vema. Robin Van Persie alitoa tahadhari mapema kwamba Man Utd ijizatiti kwa kuchulia mchezo kwa umakini mkubwa. Ijipange msimu ujao #meridianbettz

    Jibu

    Hapa Maguire ameongelea kona mbili kanivuruga kamaanisha magoili mawili kupitia kona kama mpira wa adhabu baada ya kutoa nje mpira eneo la pembeni upande wa goli lao au Kona mbili akimaanisha pande mbele tofauti?? Amenivuruga ujue

    Jibu

    Imeniuma sana hii ya Man kutoka daaa#Meridianbettz

    Jibu

    Ndio mchezo wakubaliane nahali Ila Man U wameniumiza Sana kwakipigokile

    Jibu

    United wamecheza vzr Lin hawakupata matokeo wanayohitaji poleni Sana man u

    Jibu

    Hapo hainahaja ya kulalamika sana kinachotakiwa ni kujipanga upya

    Jibu

    Daah kweli inauma sana man kutoka

    Jibu

    Wajipange upya
    @meridianbettz

    Jibu

    hatuna budi kuyapokea matokeo tunabidi tujipange upya na kuongeza juhudi united kwa ajili ya msimu ujao

    Jibu

    Duuh kweli inauma hii ya man kutoka#Meridianbettz

    Jibu

    poleni sana ila hii kwa game nilijua tu Kama man u watafungwa

    Jibu

    Asiye kubali kushindwa sio mshindani ndo matokeo ya mpira.

    Jibu

    jamani inauma sana man kutoka

    Jibu

    izo ni changamoto za michezo

    Jibu

    United ijipange san msimu ujao

    Jibu

    Ni kweli inauma sana.

    Jibu

    Manchester United msimu huu wajipange wasajil wachezaji wazur wawauze wazee hao

    Jibu

    Aikuwa bahat yao

    Jibu

    Nimoja ya changamoto

    Jibu

    Ndio mpira huo haikuwa bahati kwa Manchester United

    Jibu

    Ni vema wakajipanga upya

    Jibu

    Changamoto hizo

    Jibu

    Mpira unamatokeo matatu ushindi,sare na kupoteza na wahenga wana sema asiye kubali kushindwa si mshindani.

    Jibu

    Ndo mpr wa miguu huo huna matokeo matatu na asiyekubal kushindwa si mshindani

    Jibu

    Dk90

    Jibu

    Hakuna jipya hapo

    Jibu

    Haikuwa riziki yao wamekosa makombe yote msimu huu duu!

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Hongera juhudi sana iliuweze kufika unapo pataka#meridianbett

    Jibu

    Mashabiki wa Man u poleni

    Jibu

    “Timu bora imefungwa, wametuhukumu kwa nafasi tulizokosa. Tumefungwa kwa kona mbili kitu ambacho sio sahihi. Tulicheza vizuri na kustahili ushindi, tumeishia hatua ya nusu fainali kwa mara ya tatu msimu huu. Pengine ukosefu wetu wa uzoefu umetugharimu, tusingefungwa zile kona mbili.”

    Jibu

    Man Chester united walijitaidi sana ila ndio ivyo tena bahati haikua kwao..!

    Jibu

    Ni vizuri kukubali matokeo

    Jibu

    Bahati haikuwa yenu man united mjipange mwakani

    Jibu

    Tukubali tu matokeo

    Jibu

    Ngojatuone hiyo dk90

    Jibu

    Maguire kavurugwa na kipigo kona moja tuu jana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.