Liverpool Wametaja Kikosi cha Awali cha Wachezaji 33 kwa Ajili ya Kambi yao ya Mazoezi huko Dubai

Liverpool waliondoka kuelekea Umoja wa Falme za Kiarabu Jumatatu alasiri, ambapo wataanza maandalizi ya nusu ya pili ya msimu.

 

LIVERPOOL

 

Sehemu ya wachezaji waliosafiri ni pamoja na Luis Diaz, Diogo Jota, Naby Keita na Arthur Melo, ambao wataendelea kufanyia kazi programu zao za mazoezi baada ya kutoka kwenye majeraha yao.

Liverpool itamenyana na Olympique Lyonnais na AC Milan katika mechi mbili za Dubai Super Cup, na zote zitakuwa Meridianbet na odds zake kubwa beti hapa, kabla ya kurejea Merseyside kabla ya mechi ya Kombe la Carabao dhidi ya Manchester City mnamo Desemba 22.

 

LIVERPOOL

Wachezaji wanaoshiriki Kombe la Dunia kwa sasa watajiunga tena na kikosi katika tarehe za baadaye, huku Darwin Nunez akitarajiwa kuwasili wiki ijayo.

Kikosi cha Liverpool kilichoweka kambi ya mazoezi ya Dubai ni kama ifuatavyo:

Adrian, Kelleher, Davies, Mrozek, Pitaluga, Salah, Milner, Oxlade-Chamberlain, Jones, Elliott, Tsimikas, Ramsay, Robertson, Carvalho, Bajcetic, Phillips, Gordon, Keita, Matip, Gomez, Jota, Arthur, Diaz, Thiago, Firmino, Chambers, Quansah, Clark, Frauendorf, Stewart, Doak, Cain, Corness.

LIVERPOOL

Beti mechi zijazo za kombe la dunia na nyingine kupitia Meridianbet, beti na kitochi bila bando, kwenye machaguo spesho ya kombe la dunia yenye ODDS kubwa na bomba, na kama sio mpenzi wa mpira kuna michezo ya kasino mtandaoni napo unaweza kushinda jakipoti kubwa. Beti hapa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.