Kolo Muani: Siondoki PSG Januari
Makala iliyopita
Pogba Kufanya Mazoezi Carrington
Makala ijayo
Viktor Gyokeres: Nitamaliza Msimu Hapa Sporting CP
Mshambuliaji huyo amekua sio kipaumbele kwenye kikosi cha PSG chini ya kocha Luis Enrique jambo ambalo limefanya tetesi za yeye kutimka kuibuka, Kwani wamehusisha na hali yake klabuni hapo na huenda hana furaha na ndio sababu ya kutaka kuondoka lakini yeye mwenyewe amekanusha taarifa hizo.