Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ujerumani, Joachim Low amesema ipo siku atakutana na Mesuit Ozil, wakae chini na kutatua mgogoro wao.
Ozil alichukizwa na namna Low alimuacha kikosini jumlisha na kutompa support ya wazi pale anapopitia magumu kutoka kwa Mashabiki ambayo yalihusianishwa na masuala ya ubaguzi wa rangi.
Hivyo akaamua kustaafu soka la Kimataifa bila hata kumshirikisha Kocha huyo, hivyo Low anasema anahitaji kumalizana na Ozil, waweke pembeni tofauti zao.
Joachim anastaafu kutumikia timu ya taifa ya ujerumani, huku Ozil akiwa anachezea soka sasa pale Fenerbahce Uturuki sambamba na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ambaye amesaini kandaras ya kusalia hapo.
IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!
Ernest
Kuna wakati Makocha wengi wanafeli kutokana na uamuzi mbaya dhidi ya wachezaji, Mesuit Ozil hakustahili kufanyiwa hivi