Kiungo wa Manchester United – Paul Pogba, kuna uwezekano akaukosa mchezo wa kwanza wa EPL dhidi ya Crystal Palace wiki ijayo.
Hii imetokea baada ya kiungo huyo kukaa nje ya uwanja kwa muda, kufuatia kuathirika na virusi vya Corona.
Pogba aliondolewa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Ufaransa kwenye michezo ya UEFA Nations League kutokana na ugonjwa huo.
Akizungumzia hali ya kiungo huyo, kocha wa Man United – Ole Gunnar Solskjaer amesema. “Paul hajausika kwenye vipindi kadhaa kutokana na virusi. Anaendelea vizuri na pengine anaweza kuwepo wiki ijayo, lakini sina uhakika 100%.”
Msimu uliomaliza Paul alicheza michezo michache kufuatia kuandamwa na majeruhi, kurejea kwake katika mechi za kumalizia msimu, kulikua ni ahueni kwenye kikosi cha United kilichomaliza nafasi ya 3 kwenye Msimamo wa EPL.
Man United wataanza msimu Septemba 19, dhidi ya Crystal Palance katika uwanja wa Old Trafford.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


kabogoro
kiukweli hii corona kwa wenzetu bado inawatesa sana
Issa
Pengo kwa united
Shafii
Cha msingi afya yake ikae poa kwanza.
Aziza mushi
Habari mbaya kwa man u.
Tumaini kasalile
Pollen man utd hilo pengo kubwa
Frank P
Wanaanza kwa kichapo
Dorophina
Dhuu sijui itakuwaje kukosekana pogba mwenye kipaji chake cha kujua kucheza na mpira pengo kwa man u
Tatu
Mungu atamsaidia atapona tu
Ernest
Man U watakuwa na backup tuu sema ni pengo kwa Man U hasa ukiangalia combination yake na Fernandes
Adelta
Hili Ni pengo kubwa kwa man @meridianbettz
Sadick
Sidhani kama pengo lake litaathiri timu kwa sababu Man U ina viungo wengi#meridianbettz
Fatina
Mmh Ni habari mbay kwa man I!
Sauda
Pengo kwa Man U
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Man U wapo kwenye wakati mgumu kwahio kilicho baki kumuombea
Mwanahamisi
Mungu atampa wepesi atapona
Lydia Emmanuel Magoti
Duu chamsingi kumuombea afya yake hikae sawa
Elika
Ni pengo kubwa ..ila atakuwa sawa
warda
Itakuwaje sasa Man U bila Pogba#Meridianbettz
Amiri Kayera
Tunamtegemea San atuitaj kumkosa
Furahav
Ila sio mbaya man u bado iko vizuri.
Gabriel
Pengo kwa Manchester United
aisha
Kinachotakiwa ni afya imara kwanza
Nasra
Atapona tu mungu atamsaidia.
lombo
saf
Magdalena
Pogba atakaa tu Sawa asiwe na wasiwasi sana
Khadija
safi#meridianbettz
Janeflora malisa
Good
Saupha mohamed
Daah habari mbaya
Mwajumah
Mungu atampa wepesi tu atapona
felister
duh
Theckla
Pengo kwa man u
Povel
Duh majAnga kwl
Rehema
Du
Latifa juma mohamed
Duuhp pengo kubwa kwa united.