Sanchez: Bado Nakomaa Kuyaelewa Mazingira!

Mwanasoka Alexis Sanchez ametoa msisitizo kwamba yeye atazimudu changamoto zinazomzunguka kuhusiana na kiwango chake na kuwa atakuwa staa pale Manchester United anakokipiga kwa sasa.

Mchezaji winga huyo wa Chile ana umri wa miaka 29 kwa sasa na amekuwa na maisha magumu sana pale Old Trafford tangu aliposajiliwa mwezi wa kwanza.

Mpaka sasa hajaweza kufanya lolote la msingi sana ambalo linalingana na thamani ya mshahara wake wa paundi 500,000 kwa juma kwani amepachika bao 1 pekee kwenye gemu 10 alizokipiga.

Hata hivyo Sanchez amedai kuwa hiki ni kipindi cha mpito tu kwake na kuwa shinikizo na ukosolewaji unaomuandama ndiyo unampa nguvu.

3 Komentara

    Sanchez ni hodari mazingira ndio yanamsumbua tu

    Jibu

    Sanchez mwamba

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.