Soka: Banega Kuondoka Sevilla

Baada ya ushindi dhidi ya Inter Millan katika Fainali ya Europa. Mchezaji nyota wa Sevilla – Ever Banega atangaza kuikacha miamba hiyo ya soka la La Liga na kutimkia Saudia Arabia katika klabu ya Al- Shabab.

Katika mchezo ambao ulikuwa wa vuta ni kuvute, Inter Millan walipata goli la kuongoza mapema dakika ya 5 kupitia mkwaju wa penati kabla Luuk De Jong hajasawazisha na kuongeza goli la pili.

Kufikia mapumziko ya kipindi cha kwanza, matokeo yalikua n 2-2 na kunako dakika ya 90, matokeo yalikua ni 3-2 baada ya Lukaku kushiriki kwenye goli la kujifunga kwa kushindwa kuzuia mpira wa adhabu uliopigwa kwa umakini na Ever Banega.

Ushindi kwa Sevilla umewapa rekodi ya kuwa timu pekee iliyocheza fainali 6 za Europa na kushinda zote.

Akizungumza na Movistar, Banega amesema ” Sina maneno ya kusema kwa namna ninavyojisikia. Wakati huohuo ninapaswa kusema, ninaondoka kwenye klabu ya maisha yangu lakini nimeridhika.

“Ninaondoka na ubingwa mwingine, shukrani kwa wachezaji wenzangu, ninaondoka nikijiamini. Ninataka kuwashukuru wachezaji wenzangu wote kwa kufanikisha mimi kushinda kombe.Pamoja na benchi la ufundi kwa kutufikisha hapa.

“Sasa ninapaswa kufurahia kupeleka kombe kwa mashabiki wa Sevilla, watu ambao hawakuweza kuwa hapa lakini tunahisi uwepo wao.”

Uhusiano wa soka la La Liga na Ever Banega akiwa Sevilla.

Banega ameitumikia Sevilla kwa misimu 5 ndani ya miaka 6. Amehusika katika makombe 3 ya Europa lakini Sevilla hawakumuongezea mkataba wa kusalia kwenye timu hiyo msimu ujao.

Sasa ni rasmi, Banega atajiunga na miamba ya soka la Saudi Arabia – Al Shabab.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi Ucheze

 

42 Komentara

    maamuzi yake yapo sahihi uenda kaona huko ndo panamfaa zaidi

    Jibu

    Safari njema.

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Aende tu mm wala simkubali uyu mtu sijaona umuhim wake alipokua sevilla#Meridianbettz

    Jibu

    Banega kila la kheri labda alikoenda kaona kuna manufaa zaidi

    Jibu

    Kila lakher banega uwendako.

    Jibu

    Anaondoka kwa heshima kubwa na kumbukumbu nzuri kwa utumishi uliotukuka. Kila la kheri huko Arabuni#meridianbettz

    Jibu

    Kila la kheri uendako

    Jibu

    Anaondoka lakini ameiletea Sevilla heshima kubwa

    Jibu

    Mamuzi yake nisahii kwasababu anangalia masilai sehemu panapo mlizisha ndipo ataweka kambi yupo sahii

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Banega aende tu labda ashaona ndoto zake zipo Saudi Arabia@meridianbettz

    Jibu

    kila kheri uendako#meridianbettz

    Jibu

    Banega safi umeitendea haki sevilla

    Jibu

    Banega amejitengenezea heshima na rekodi kubwa sana ndani ya Sevilla

    Jibu

    Banega ameacha jina Sevilla watamkumbuka kila lakheri huendapo

    Jibu

    vizuri Kama unaondoka ukiwa umeridhia

    Jibu

    Ni jambo jema amefanya Vizuri akiwa na Sevilla anatafuta changamoto mpya na kwenda kucheza mpira mwepesi kidogo

    Jibu

    Maamuzi aliyeyachukua banega mazuri kila LA kheri huko aendako

    Jibu

    Safariii njemaa

    Jibu

    all the best

    Jibu

    Anaend taft changamot mpya

    Jibu

    Kila LA kheri

    Jibu

    Banage nadhani wakati wake wa kusepa sevilla ushawadia.

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    It’s your choice

    Jibu

    Banega inatosha lfy la Sevilla Kama vle muda wake umefika kwenda kusaka pesa nchi za china na uarabuni vle

    Jibu

    Banange anaondoka kwa furaha sana 👍

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Riziki popote!!!!

    Jibu

    Kila lakheri banega huko uwendako.

    Jibu

    Safari njema

    Jibu

    Anaondoka kwa heshima kubwa na kumbukumbu nzuri kwa utumishi uliotukuka. Kila la kheri huko Arabuni

    Jibu

    Kila la laheri katika timu nyingine mana umeweka heshima Seville watakukumbuka sana kwa ushitikiano uliotoa na kupata ushindi wa kombe

    Jibu

    Kila la kheri banega

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Wasalimie uko uendako.

    Jibu

    Hongera take namtakia kila la kheri uko aendako

    Jibu

    Banega anaondoka Sevilla lakini atakumbukwa Sana ameweka heshima kubwa na kila la kheri huko aendako.

    Jibu

    Sio mbaya hata akiondoka kawaacha vizuri

    Jibu

    Yani amejitaid kuweka mambo sawa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.